Last KING Ontuzu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 587
- 783
Nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania.kitu
Ninachoona kinaendelea nchini kwa sasa ni harakati za wapinzani Kutaka KATIBA mpya,ni harakati za kupaza sauti kufanya makongamano ya katiba na makongamano kufanyika nchi nzima.
Tumeona leo mwenyekiti wa CDM jijini Mwanza amekamatwa na polisi ambao walizunguka Hotel ambayo walitaka kufanyia kongamano la katiba mpya.
Mchakato huo sio mpya na tayari uliwahi kugharimu mabioni ya pesa miaka 6 nyuma.
Swali la kujiuliza ni kwanini serikali inaona hatari sana kuruhusu mchakato huo kukamilika?Nini kipo nyuma ya pazia?
Je chama tawala kinachounda serikali kinafaidikaje na katiba iliyopo mpaka kupata kigugumizi kuruhusu mchakato huo.
Kwa haraharaka naona huenda kweli mchakato wa katiba mpya unaweza kuitoa madarakani CCM .
Kama ndio ukweli je, ni kwa mambo gani hasa yanayoweza kusaidia kuitoa ccm madarakani kupitia mchakato wa katiba mpya ? Au ni uoga tuu wa SSH na dawati lake la kiufundi?
Kwenu wachambuzi.
Ninachoona kinaendelea nchini kwa sasa ni harakati za wapinzani Kutaka KATIBA mpya,ni harakati za kupaza sauti kufanya makongamano ya katiba na makongamano kufanyika nchi nzima.
Tumeona leo mwenyekiti wa CDM jijini Mwanza amekamatwa na polisi ambao walizunguka Hotel ambayo walitaka kufanyia kongamano la katiba mpya.
Mchakato huo sio mpya na tayari uliwahi kugharimu mabioni ya pesa miaka 6 nyuma.
Swali la kujiuliza ni kwanini serikali inaona hatari sana kuruhusu mchakato huo kukamilika?Nini kipo nyuma ya pazia?
Je chama tawala kinachounda serikali kinafaidikaje na katiba iliyopo mpaka kupata kigugumizi kuruhusu mchakato huo.
Kwa haraharaka naona huenda kweli mchakato wa katiba mpya unaweza kuitoa madarakani CCM .
Kama ndio ukweli je, ni kwa mambo gani hasa yanayoweza kusaidia kuitoa ccm madarakani kupitia mchakato wa katiba mpya ? Au ni uoga tuu wa SSH na dawati lake la kiufundi?
Kwenu wachambuzi.