Jinsi kampuni za bia zilivyobadili gia angani

East African

JF-Expert Member
Nov 27, 2013
704
989
Heri ya mwaka mpya wanywaji wote wa Bia,

Kutokana na hali ya maisha kuwa ngumu hivi sasa na hasa ukizingatia ya kuwa serikali imekuwa ikipandisha kodi kila mwaka kwenye Bia.

Sasa TBL na SBL wameona isiwe shida, wameamua kushindana kuzalisha Bia ndogo zenye ulevi uleule kwa Bei nafuu ya 1500 hadi 1800. Hii imetoa ahueni kwa wanywaji angalau sasa ukiwa na 4500 tu unaweza kupata walau 3 ya kulalia.

Kwangu mimi Bia sio starehe tena ni hitaji la msingi kama ilivyo maji na chakula, hivyo, kuniuzia elfu 2500 hadi 3000 ni kuniumiza tu. Tafadhali TRA msipandishe Bia.
Mfano kuna
Kilimanjaro ndogo
Safari ndogo
Serengeti ndogo
Balimi ndogo
Na zingine zingi zitakuja kwa lengo la kuinua walau mauzo ya kampuni hizi.

Karibuni tufurahie ubunifu.
 
Kinachonisikitisha kuhusu hizi bia hazina ladha kabisa. Ni kama maji tu. Walau Serengeti nimeona kama bado ina ladha halisi ya bia japo nao wanachakachua tu kiaina.

Nachowaomba hawa SBL na TBL zingatieni ubora wa bidhaa zenu. Msitulazimishe tunywe imported beer.

Happy New Year 2017.
 
Kinachonisikitisha kuhusu hizi bia hazina ladha kabisa. Ni kama maji tu. Walau Serengeti nimeona kama bado ina ladha halisi ya bia japo nao wanachakachua tu kiaina.

Nachowaomba hawa SBL na TBL zingatieni ubora wa bidhaa zenu. Msitulazimishe tunywe imported beer.

Happy New Year 2017.
Uko sahihi mkuu, kuhusu ladha wanazingua siku hizi. Wametujali kwenye bei na ladha pia watujali.
 
Kitu cha bei rahisi huwa hakina kiwango kizuri. Kulewa utalewa ila ile radha murua hautaipata.
 
Binafsi sioni aibu kuagiza Pilsner (Tsh 1500 tu ml500 na alcohol ya 5.0%vv) hata kama niko hotel kubwa.. Jiungeni nami tuokoe pesa nyingi zitakazo tusaidia kwenye mambo mengine,,
Mkuu hyo kitu yataka moyo
Nilishajaribu siku moja lakini nilibandua sticker zake iwe kama castle lager
 
Kinachonisikitisha kuhusu hizi bia hazina ladha kabisa. Ni kama maji tu. Walau Serengeti nimeona kama bado ina ladha halisi ya bia japo nao wanachakachua tu kiaina.

Nachowaomba hawa SBL na TBL zingatieni ubora wa bidhaa zenu. Msitulazimishe tunywe imported beer.

Happy New Year 2017.
Kaonje Safari ndogo (Kirikuu au Mwendokasi) ndo utajua kuwa zinalevya au lah
 
Binafsi sioni aibu kuagiza Pilsner (Tsh 1500 tu ml500 na alcohol ya 5.0%vv) hata kama niko hotel kubwa.. Jiungeni nami tuokoe pesa nyingi zitakazo tusaidia kwenye mambo mengine,,
Pilsner bia ngumu ukinywa nyingi kesho yake unakunya mavi meusi au kuhalisha.
Ila zinaokoa sana ukiwa na elfu kumi tu unazungusha round za kutosha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom