Wangoni maneno mengi ndo mana wengi wao ni wanasheria na wadadisi wa mambo coz wakianza kuongea wanatema utafikili wana vitabu kichwani wanasomaWangoni wana vipaji vya upiganaji vita.
Wewe kwa kiswahili hiki hauwezi kuwa mtanzania otherwise tunaomba cheti chako cha kuzaliwa!
We utakuwa na Uraia Pacha tu maana Kiswahili chako kinafanana na cha kina Zitto