Jinsi Joseph Kabila alivyopiga chenga ya mwili, akili za wapinzani na mataifa ya Nje!

Masikini Joseph Kabila...Nakumbuka Baba Yake Jose Alizamishwa Ziwa Tanganyika Akiwa Mahututi Kwa Amri Ya Laurent Desire Kabila,Baada Ya Jaribio La Kumtoa Madarakani Bwana Mobutu Kufeli Vibaya Na Askari Takriban 200 Wa Kabila Sr Wakiongozwa Na Marehemu Baba Yake Mzazi Wa Jose Kuuwawa,ndipo Babake Jose Akarudishwa Kambini Msituni Kuripoti Kwa Kabila Akiwa Amevunjika Miguu Yote!Ndipo Laurent Kabila Akawaagiza Askari Wake Wampakie Kwenye Boti Wamkimbize Ujiji Kigoma Apate Matibabu(ila Akawaamuru Wakifika Katikati Ya Ziwa Wamtupe Humo Halafu Warudi)Ndipo Mzee Kabila Akamtwaa Mke Wa Marehemu,marceline,Joseph Pamoja Na Dada Yake Akaja Kuwabwaga Msasani Daresalaam Kama Wanawe Kisha Akarudi Uwanja Wa Mapambano.Baadaye Joseph Alikuja Kuelewa Mazingira Ya Kifo Cha Babake Na Matatizo Yakaanzia Hapo! Rip Laurent.."mwanao" Alipendwa Zaidi Na Wanajeshi Wako Vile Hukuwatekelezea Ulichowaahidi Mlipokuwa Mngali Msituni,ukawajibu Nyodo Nao Wakasanua Kwa "mwanao" Ukweli Kwamba Wewe Si Baba Yake Na Baba Yake Ulimzamisha Ziwani!!
 
True....!
Nimesoma sehemu Tshisekedi akikiri kuwa ni kweli baada ya kula kupigwa na kabla ya Matokeo kutangazwa alikua na Mazungumzo na Serikali ya Kabila, mwenyewe akitetea kuwa ni kawaida, ilitokea kwa Mandela South Africa.....kwa nini iwe Nongwa kwa Congo..!?
 
Masikini Joseph Kabila...Nakumbuka Baba Yake Jose Alizamishwa Ziwa Tanganyika Akiwa Mahututi Kwa Amri Ya Laurent Desire Kabila,Baada Ya Jaribio La Kumtoa Madarakani Bwana Mobutu Kufeli Vibaya Na Askari Takriban 200 Wa Kabila Sr Wakiongozwa Na Marehemu Baba Yake Mzazi Wa Jose Kuuwawa,ndipo Babake Jose Akarudishwa Kambini Msituni Kuripoti Kwa Kabila Akiwa Amevunjika Miguu Yote!Ndipo Laurent Kabila Akawaagiza Askari Wake Wampakie Kwenye Boti Wamkimbize Ujiji Kigoma Apate Matibabu(ila Akawaamuru Wakifika Katikati Ya Ziwa Wamtupe Humo Halafu Warudi)Ndipo Mzee Kabila Akamtwaa Mke Wa Marehemu,marceline,Joseph Pamoja Na Dada Yake Akaja Kuwabwaga Msasani Daresalaam Kama Wanawe Kisha Akarudi Uwanja Wa Mapambano.Baadaye Joseph Alikuja Kuelewa Mazingira Ya Kifo Cha Babake Na Matatizo Yakaanzia Hapo! Rip Laurent.."mwanao" Alipendwa Zaidi Na Wanajeshi Wako Vile Hukuwatekelezea Ulichowaahidi Mlipokuwa Mngali Msituni,ukawajibu Nyodo Nao Wakasanua Kwa "mwanao" Ukweli Kwamba Wewe Si Baba Yake Na Baba Yake Ulimzamisha Ziwani!!
...kama ni kweli basi huyo Kabila sr.alikuwa mshenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makubaliano Aliyoingia Kabila Na Felix Ni Hatari Ila Imebidi Iwe Hivyo Kwa Usalama Wa Kabila.Nchi Za Magharibi Zinaelewa Vizuri Picha Ilivyo Na Ndiyo Maana Wanahaha Kwa Sasa,ila Mkataba Ulivyo Bwana Felix Yuko Kwenye Kundi La Kukosa.
 
...kama ni kweli basi huyo Kabila sr.alikuwa mshenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
ni Kweli Mkuu,baba Yake Joseph Alikuwa Ni Mtusi Wa Rwanda Na Alikuwa Akiongoza Kikosi Chake Cha Waasi Kilichokuwa Kikipambana Dhidi Ya Serikali Ya Bwn Ndadaye Wa Burundi.Makubaliano Yakafikiwa Kati Ya Kikundi Cha Kabila Sr Na Kile Cha Babake Jose Kwamba Waungane Wamng'oe Mobutu Then Kabila Amsaidie Babake Jose(kanembe) Kumng'oa Ndadaye Burundi.Kabla Hawajafanikisha Ndipo Kanembe Akakutwa Na Madhira Hayo.Kabila Sr Akawaahidi Vyeo Mbalimbali Askari Waliobaki Wa Babake Jose Ili Waendelee Kuwa Wamoja Lakini Aliotwaa Madaraka Aliwasahau Kabisa Kabisa.Ukienda Drc Kuna Kamsemo Maarufu"afadhali Angekuwepo Kanembe"..Huu Msemo Ulianza Jeshin Kipindi Kabila Yu Hai,wakamuonya Hakuonyeka,akavimba Kichwa,wakampasua,maana Jeshi Lilishaingia Utusi Na Uzawa!Hili La Utusi Likapewa Kampan Na PK,Likamtwaa Jose Habari Ikaishia Hapo.
 
ni Kweli Mkuu,baba Yake Joseph Alikuwa Ni Mtusi Wa Rwanda Na Alikuwa Akiongoza Kikosi Chake Cha Waasi Kilichokuwa Kikipambana Dhidi Ya Serikali Ya Bwn Ndadaye Wa Burundi.Makubaliano Yakafikiwa Kati Ya Kikundi Cha Kabila Sr Na Kile Cha Babake Jose Kwamba Waungane Wamng'oe Mobutu Then Kabila Amsaidie Babake Jose(kanembe) Kumng'oa Ndadaye Burundi.Kabla Hawajafanikisha Ndipo Kanembe Akakutwa Na Madhira Hayo.Kabila Sr Akawaahidi Vyeo Mbalimbali Askari Waliobaki Wa Babake Jose Ili Waendelee Kuwa Wamoja Lakini Aliotwaa Madaraka Aliwasahau Kabisa Kabisa.Ukienda Drc Kuna Kamsemo Maarufu"afadhali Angekuwepo Kanembe"..Huu Msemo Ulianza Jeshin Kipindi Kabila Yu Hai,wakamuonya Hakuonyeka,akavimba Kichwa,wakampasua,maana Jeshi Lilishaingia Utusi Na Uzawa!Hili La Utusi Likapewa Kampan Na PK,Likamtwaa Jose Habari Ikaishia Hapo.
...unaonekana unajua mengi sana mkuu
....anyway_itoshe tu kusema asante sana kwa elimu hii ya historia uliyotupa bure...Jah bless the dead

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabila alichomfanya Shandry, ni sawa na JK alichomfanya mtoto wa mkulima... Alimuomba achukue form akijua haupati urais hata kwa dawa...

Sent using Jamii Forums mobile app
ndiyo Ukweli Na Hata Kabila Alishafanya Makubaliano Kitambo Tu Na Tshisekedi Na Si Majuzi Kama Watu Wanavyodai,huwezi Amini Makubaliano Hayo Yaliyoambatana Na Mkataba Maalum Yalifanyika Kabla Ya Kabila Kumtangaza Shadary!Na Kitu Cha Kuchekesha Zaidi Ni Kuwa Hata Shadary Mwenyewe Anaufahamu Mkataba Huo Na Ni Mmoja Wa Mashuhuda Wa Utiwaji Saini!Ilikuwa Kwamba Kama Akishinda Shadary Na Felix Ameula Pia,na Kama Akishinda Felix Basi Kabila Na Shadary Wangeula Ila Kupitia Mlango Wa Nyuma Kwamba Bado Kabila Angedhibiti Jeshi Na Usalama Wa Taifa.
 
Masikini Joseph Kabila...Nakumbuka Baba Yake Jose Alizamishwa Ziwa Tanganyika Akiwa Mahututi Kwa Amri Ya Laurent Desire Kabila,Baada Ya Jaribio La Kumtoa Madarakani Bwana Mobutu Kufeli Vibaya Na Askari Takriban 200 Wa Kabila Sr Wakiongozwa Na Marehemu Baba Yake Mzazi Wa Jose Kuuwawa,ndipo Babake Jose Akarudishwa Kambini Msituni Kuripoti Kwa Kabila Akiwa Amevunjika Miguu Yote!Ndipo Laurent Kabila Akawaagiza Askari Wake Wampakie Kwenye Boti Wamkimbize Ujiji Kigoma Apate Matibabu(ila Akawaamuru Wakifika Katikati Ya Ziwa Wamtupe Humo Halafu Warudi)Ndipo Mzee Kabila Akamtwaa Mke Wa Marehemu,marceline,Joseph Pamoja Na Dada Yake Akaja Kuwabwaga Msasani Daresalaam Kama Wanawe Kisha Akarudi Uwanja Wa Mapambano.Baadaye Joseph Alikuja Kuelewa Mazingira Ya Kifo Cha Babake Na Matatizo Yakaanzia Hapo! Rip Laurent.."mwanao" Alipendwa Zaidi Na Wanajeshi Wako Vile Hukuwatekelezea Ulichowaahidi Mlipokuwa Mngali Msituni,ukawajibu Nyodo Nao Wakasanua Kwa "mwanao" Ukweli Kwamba Wewe Si Baba Yake Na Baba Yake Ulimzamisha Ziwani!!
duh! hii habari kubwa sana..
 
ndiyo Ukweli Na Hata Kabila Alishafanya Makubaliano Kitambo Tu Na Tshisekedi Na Si Majuzi Kama Watu Wanavyodai,huwezi Amini Makubaliano Hayo Yaliyoambatana Na Mkataba Maalum Yalifanyika Kabla Ya Kabila Kumtangaza Shadary!Na Kitu Cha Kuchekesha Zaidi Ni Kuwa Hata Shadary Mwenyewe Anaufahamu Mkataba Huo Na Ni Mmoja Wa Mashuhuda Wa Utiwaji Saini!Ilikuwa Kwamba Kama Akishinda Shadary Na Felix Ameula Pia,na Kama Akishinda Felix Basi Kabila Na Shadary Wangeula Ila Kupitia Mlango Wa Nyuma Kwamba Bado Kabila Angedhibiti Jeshi Na Usalama Wa Taifa.
Siasa za kusini mwa jangwa la sahara...
 
ni Kweli Mkuu,baba Yake Joseph Alikuwa Ni Mtusi Wa Rwanda Na Alikuwa Akiongoza Kikosi Chake Cha Waasi Kilichokuwa Kikipambana Dhidi Ya Serikali Ya Bwn Ndadaye Wa Burundi.Makubaliano Yakafikiwa Kati Ya Kikundi Cha Kabila Sr Na Kile Cha Babake Jose Kwamba Waungane Wamng'oe Mobutu Then Kabila Amsaidie Babake Jose(kanembe) Kumng'oa Ndadaye Burundi.Kabla Hawajafanikisha Ndipo Kanembe Akakutwa Na Madhira Hayo.Kabila Sr Akawaahidi Vyeo Mbalimbali Askari Waliobaki Wa Babake Jose Ili Waendelee Kuwa Wamoja Lakini Aliotwaa Madaraka Aliwasahau Kabisa Kabisa.Ukienda Drc Kuna Kamsemo Maarufu"afadhali Angekuwepo Kanembe"..Huu Msemo Ulianza Jeshin Kipindi Kabila Yu Hai,wakamuonya Hakuonyeka,akavimba Kichwa,wakampasua,maana Jeshi Lilishaingia Utusi Na Uzawa!Hili La Utusi Likapewa Kampan Na PK,Likamtwaa Jose Habari Ikaishia Hapo.
Huweleweki, unasema babake ni kutoka Rwanda huku akipambana Ndadai wa Burundi. Kwanini autake urais wa Burundi na sio Rwanda? Ndadai alionngoza Burundi mwaka 1993 na kuuwawa mwaka huohuo. Tayari Kabila na familia yake wapo Dar siku nyingi miaka ya 70. Sijakuelewa ujue!! Jipange ulete habari kamili.
 
Huweleweki, unasema babake ni kutoka Rwanda huku akipambana Ndadai wa Burundi. Kwanini autake urais wa Burundi na sio Rwanda? Ndadai alionngoza Burundi mwaka 1993 na kuuwawa mwaka huohuo. Tayari Kabila na familia yake wapo Dar siku nyingi miaka ya 70. Sijakuelewa ujue!! Jipange ulete habari kamili.
nahitaji Muda Kukuelezea Uelewe,sina Kwa Sasa,ila Naahidi Kuweka Maelezo Marefu Hapa Baadae Naamini Utapata Ufafanuzi Mzuri Tu Mkuu.
 
Back
Top Bottom