Tz hakuna ujanja wowote, ......... check tunavyo pigwa na wa nje kwenye raslimali zetu wakati makubaliano tumeingia wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tz hakuna ujanja wowote, ......... check tunavyo pigwa na wa nje kwenye raslimali zetu wakati makubaliano tumeingia wenyewe.
Kwa hiyo Felix ni mfuasi wa Kabila? Felix huyuhuyu ambaye amenyanyasika chini ya tawala zote za Kongo tangu akiwa mwanafunzi chini ya utawala wa KUKU? Huyu huyu aliyesomea uhamishoni kama mkimbizi na kulazimika kuwa mcheza korokoro Ubelgiji? Au Ubelgiji ni mtaa huko Mbujimayi? Ni Felix ambaye hata maiti ya baba yake ilikuwa inawayawaya kwenye Mortuary za Ulaya Leo amekuwa mtu wa Kabila? Huyo Kabila atakuwa amepoteza dira kwa Felix kuliko kwa Fayulu Mkarismatic.Kawapiga chenga tamu sana kwakweli
Ritz alikuwa na kiwango Fulani cha busara. Nadhani hawa watoto wapya wa Lumumba wanatokana na ndoa haramu kati ya UCD na YEHODAYA!! Mitoto inayozaliwa ni Mbulura Fc.Yaani ujinga Lumumba in Kama ugonjwa wa Ebola ukiingia mahali, kutoka ni kazi maana unaambukiza.
Nikiangalia naona naona lumumba kila siku wanazaliwa wajinga wapya utadhani wakongwe Lizaboni na Ritz wamejamiiana na kuzaa hii mitoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi yuko wapi LizaboniYaani ujinga Lumumba in Kama ugonjwa wa Ebola ukiingia mahali, kutoka ni kazi maana unaambukiza.
Nikiangalia naona naona lumumba kila siku wanazaliwa wajinga wapya utadhani wakongwe Lizaboni na Ritz wamejamiiana na kuzaa hii mitoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Felix alikuwa anafanya kazi gani kule Ubelgiji kabla kurudi KongoHujui chochote ujinga wa kujiliwaza hapo rumumba kama issue ni ubeberu basi beberu namba moja ni felix aliyekua anaishi huko ubeberuni(ubeligiji) Jenga hoja nyingne achana na singeli yenu ya kishamba kwamba wanaopendwa na wananchi ni mabeberu.Hii ndio hoja mnaojifichia mabeberu wa Lumumba
Siasa haina rafiki wala adui wakudumu daima kumbuka hiloKwa hiyo Felix ni mfuasi wa Kabila? Felix huyuhuyu ambaye amenyanyasika chini ya tawala zote za Kongo tangu akiwa mwanafunzi chini ya utawala wa KUKU? Huyu huyu aliyesomea uhamishoni kama mkimbizi na kulazimika kuwa mcheza korokoro Ubelgiji? Au Ubelgiji ni mtaa huko Mbujimayi? Ni Felix ambaye hata maiti ya baba yake ilikuwa inawayawaya kwenye Mortuary za Ulaya Leo amekuwa mtu wa Kabila? Huyo Kabila atakuwa amepoteza dira kwa Felix kuliko kwa Fayulu Mkarismatic.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kabila n yupi mkuu?Uko sawa kijana.
Na huu ndio ulikuwa urafiki wa shadary na kabila tangu enzi za ujana wao.
Angalia picha hii View attachment 992809
Sent using Jamii Forums mobile app
Sarakasi za siasa za DRC baada ya uchaguzi uliopita zitakuwa zinasimamiwa na kuongozwa na Kabila nyuma ya pazia. Amepatana na Felix awe Rais kutoka chama chake na bunge liongozwe na chama cha Joseph. Rais akiteua mawaziri kutoka chama chake bunge halitapitisha sheria kwa sababu wabunge wa chama cha Joseph wana wingi wa kura. Niwazi Kabila ataongoza na kusimamia Serikali.Ukimwaga mboga tunamwaga ugali. Chenga uliyowapiga wakoloni mamboleo hakika ni ya kimataifa na imethibitisha wewe ni mwanaume ambaye hujakubali kuwa mnyonge mbele ya mabeberu.
Soma kwa makini
Iko hivi, rais aliyemaliza mda wake wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila aliwekewa vikwazo vingi na mataifa ya ulaya kwa madai ya uminyaji wa demokrasia na kung'ang'ania madaraka ndipo Kabila aliamua kutangaza tarehe rasmi ya kufanyika uchaguzi na jambo lililowafurahisha wengi ni pale alipotangaza kuwa hatashiriki katika uchaguzi huo kama mgombea wa kiti cha urais kwakuwa muhula wake ushaisha kwa mujibu wa katiba ya Congo.
Uchaguzi uligubikwa na mashinikizo na maswali mengi yaliyokosa majibu. Kelele nyingi zilipigwa na kuwaaminisha wakongo kuwa chama tawala hakifai kuendelea kuwepo madarakani kwani hata asipogombea Kabila wananchi waliaminishwa kuwa mgombea yeyote wa chama tawala atakuwa kibaraka wa Kabila. Nyuma ya pazia mataifa ya ulaya kwa kushirikiana na vibaraka wao kama vile Kanisa Katoliki nchini Kongo walimuandaa mgombea wao ambaye akipita ataendesha Congo kwa maslahi yao binafsi.
Kabila kwa kutambua hilo akajua wananchi wana chuki dhidi ya chama tawala hivyo akifanya figisu kumpitisha mgombea wa chama tawala Shadary Ramadhan basi itazua machafuko nchini Kongo lakini pia akipita Martin Fayulu wa upinzani ndiye mgombea wa nchi za ulaya wanaempenda, kwa kuona hilo kwamba wakoloni wamemwaga ugali kwa kumchafulia chama chake na kumwekea vikwazo nae akaamua kumwaga mboga kwa kufanya figisu kumpitisha Felix Tshisekedi Tshilombo ambae sio papeti wa wakoloni mambo leo.
Ndio maana bado mataifa ya ulaya hadi leo wanatilia shaka matokeo ya urais nchini Kongo ila wanaogopa kuweka wazi kwakuwa wataulizwa shaka zenu mmezitolea wapi wakati nyie sio tume ya uchaguzi?
Mwaga ugali namwaga mboga! #Bado_somewhere
Nilisoma naye na tulikaa naye dawati moja kwa miaka 2. Ni rafiki yangu huwa tunawasiliana nami ninaenda sana Congo. Kabila ni mpole sana usoni, lakini anakili nyingi.
Shikamoo , BabuNilisoma naye na tulikaa naye dawati moja kwa miaka 2. Ni rafiki yangu huwa tunawasiliana nami ninaenda sana Congo. Kabila ni mpole sana usoni, lakini anakili nyingi.
Bibie hapo sijui ni nani Kati yaoRitz alikuwa na kiwango Fulani cha busara. Nadhani hawa watoto wapya wa Lumumba wanatokana na ndoa haramu kati ya UCD na YEHODAYA!! Mitoto inayozaliwa ni Mbulura Fc.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo Kabila alisoma Irambo MbeyaUlisoma naye Ilambo au Sangu???
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna ugonjwa kuwa kila tatizo ambalo serikali za africa linapata.. kisingizio mabeberu.Ukimwaga mboga tunamwaga ugali. Chenga uliyowapiga wakoloni mamboleo hakika ni ya kimataifa na imethibitisha wewe ni mwanaume ambaye hujakubali kuwa mnyonge mbele ya mabeberu.
Soma kwa makini
Iko hivi, rais aliyemaliza mda wake wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila aliwekewa vikwazo vingi na mataifa ya ulaya kwa madai ya uminyaji wa demokrasia na kung'ang'ania madaraka ndipo Kabila aliamua kutangaza tarehe rasmi ya kufanyika uchaguzi na jambo lililowafurahisha wengi ni pale alipotangaza kuwa hatashiriki katika uchaguzi huo kama mgombea wa kiti cha urais kwakuwa muhula wake ushaisha kwa mujibu wa katiba ya Congo.
Uchaguzi uligubikwa na mashinikizo na maswali mengi yaliyokosa majibu. Kelele nyingi zilipigwa na kuwaaminisha wakongo kuwa chama tawala hakifai kuendelea kuwepo madarakani kwani hata asipogombea Kabila wananchi waliaminishwa kuwa mgombea yeyote wa chama tawala atakuwa kibaraka wa Kabila. Nyuma ya pazia mataifa ya ulaya kwa kushirikiana na vibaraka wao kama vile Kanisa Katoliki nchini Kongo walimuandaa mgombea wao ambaye akipita ataendesha Congo kwa maslahi yao binafsi.
Kabila kwa kutambua hilo akajua wananchi wana chuki dhidi ya chama tawala hivyo akifanya figisu kumpitisha mgombea wa chama tawala Shadary Ramadhan basi itazua machafuko nchini Kongo lakini pia akipita Martin Fayulu wa upinzani ndiye mgombea wa nchi za ulaya wanaempenda, kwa kuona hilo kwamba wakoloni wamemwaga ugali kwa kumchafulia chama chake na kumwekea vikwazo nae akaamua kumwaga mboga kwa kufanya figisu kumpitisha Felix Tshisekedi Tshilombo ambae sio papeti wa wakoloni mambo leo.
Ndio maana bado mataifa ya ulaya hadi leo wanatilia shaka matokeo ya urais nchini Kongo ila wanaogopa kuweka wazi kwakuwa wataulizwa shaka zenu mmezitolea wapi wakati nyie sio tume ya uchaguzi?
Mwaga ugali namwaga mboga! #Bado_somewhere
Siamini kama bado waafrica tuna mawazo mgando kama haya.Ukimwaga mboga tunamwaga ugali. Chenga uliyowapiga wakoloni mamboleo hakika ni ya kimataifa na imethibitisha wewe ni mwanaume ambaye hujakubali kuwa mnyonge mbele ya mabeberu.
Soma kwa makini
Iko hivi, rais aliyemaliza mda wake wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila aliwekewa vikwazo vingi na mataifa ya ulaya kwa madai ya uminyaji wa demokrasia na kung'ang'ania madaraka ndipo Kabila aliamua kutangaza tarehe rasmi ya kufanyika uchaguzi na jambo lililowafurahisha wengi ni pale alipotangaza kuwa hatashiriki katika uchaguzi huo kama mgombea wa kiti cha urais kwakuwa muhula wake ushaisha kwa mujibu wa katiba ya Congo.
Uchaguzi uligubikwa na mashinikizo na maswali mengi yaliyokosa majibu. Kelele nyingi zilipigwa na kuwaaminisha wakongo kuwa chama tawala hakifai kuendelea kuwepo madarakani kwani hata asipogombea Kabila wananchi waliaminishwa kuwa mgombea yeyote wa chama tawala atakuwa kibaraka wa Kabila. Nyuma ya pazia mataifa ya ulaya kwa kushirikiana na vibaraka wao kama vile Kanisa Katoliki nchini Kongo walimuandaa mgombea wao ambaye akipita ataendesha Congo kwa maslahi yao binafsi.
Kabila kwa kutambua hilo akajua wananchi wana chuki dhidi ya chama tawala hivyo akifanya figisu kumpitisha mgombea wa chama tawala Shadary Ramadhan basi itazua machafuko nchini Kongo lakini pia akipita Martin Fayulu wa upinzani ndiye mgombea wa nchi za ulaya wanaempenda, kwa kuona hilo kwamba wakoloni wamemwaga ugali kwa kumchafulia chama chake na kumwekea vikwazo nae akaamua kumwaga mboga kwa kufanya figisu kumpitisha Felix Tshisekedi Tshilombo ambae sio papeti wa wakoloni mambo leo.
Ndio maana bado mataifa ya ulaya hadi leo wanatilia shaka matokeo ya urais nchini Kongo ila wanaogopa kuweka wazi kwakuwa wataulizwa shaka zenu mmezitolea wapi wakati nyie sio tume ya uchaguzi?
Mwaga ugali namwaga mboga! #Bado_somewhere
Kwa hiyo we unafurahi kabilaba kuiba matokeo! Yaani wananchi wamchague mwingine ye atangaze mwingine halafu unafurahu kabisa. Aise vichaa ni wengiUfaransa wamesema wazi kwamba eti aliyepaswa kushinda ni Fayulu. Nimewashangaa sana kwa upumbavu wao. Kumbe kisa huyo Fayulu ni mfanyabiashara na walijua watafanya nae biashara ya mafuta.
Big up Kabila. Nilipishana nae Makutupora JKT 834 KJ mwaka 1993 yeye anatoka kumaliza mafunzo mimi naingia. Namkubali sana mabeberu aibu tele na Chisekedi Chilombo (Ndivyo inavyotamkwa) ataapishwa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimwaga mboga tunamwaga ugali. Chenga uliyowapiga wakoloni mamboleo hakika ni ya kimataifa na imethibitisha wewe ni mwanaume ambaye hujakubali kuwa mnyonge mbele ya mabeberu.
Soma kwa makini
Iko hivi, rais aliyemaliza mda wake wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila aliwekewa vikwazo vingi na mataifa ya ulaya kwa madai ya uminyaji wa demokrasia na kung'ang'ania madaraka ndipo Kabila aliamua kutangaza tarehe rasmi ya kufanyika uchaguzi na jambo lililowafurahisha wengi ni pale alipotangaza kuwa hatashiriki katika uchaguzi huo kama mgombea wa kiti cha urais kwakuwa muhula wake ushaisha kwa mujibu wa katiba ya Congo.
Uchaguzi uligubikwa na mashinikizo na maswali mengi yaliyokosa majibu. Kelele nyingi zilipigwa na kuwaaminisha wakongo kuwa chama tawala hakifai kuendelea kuwepo madarakani kwani hata asipogombea Kabila wananchi waliaminishwa kuwa mgombea yeyote wa chama tawala atakuwa kibaraka wa Kabila. Nyuma ya pazia mataifa ya ulaya kwa kushirikiana na vibaraka wao kama vile Kanisa Katoliki nchini Kongo walimuandaa mgombea wao ambaye akipita ataendesha Congo kwa maslahi yao binafsi.
Kabila kwa kutambua hilo akajua wananchi wana chuki dhidi ya chama tawala hivyo akifanya figisu kumpitisha mgombea wa chama tawala Shadary Ramadhan basi itazua machafuko nchini Kongo lakini pia akipita Martin Fayulu wa upinzani ndiye mgombea wa nchi za ulaya wanaempenda, kwa kuona hilo kwamba wakoloni wamemwaga ugali kwa kumchafulia chama chake na kumwekea vikwazo nae akaamua kumwaga mboga kwa kufanya figisu kumpitisha Felix Tshisekedi Tshilombo ambae sio papeti wa wakoloni mambo leo.
Ndio maana bado mataifa ya ulaya hadi leo wanatilia shaka matokeo ya urais nchini Kongo ila wanaogopa kuweka wazi kwakuwa wataulizwa shaka zenu mmezitolea wapi wakati nyie sio tume ya uchaguzi?
Mwaga ugali namwaga mboga! #Bado_somewhere