Jinsi Joseph Kabila alivyopiga chenga ya mwili, akili za wapinzani na mataifa ya Nje!

Ukimwaga mboga tunamwaga ugali. Chenga uliyowapiga wakoloni mamboleo hakika ni ya kimataifa na imethibitisha wewe ni mwanaume ambaye hujakubali kuwa mnyonge mbele ya mabeberu.

Soma kwa makini

Iko hivi, rais aliyemaliza mda wake wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila aliwekewa vikwazo vingi na mataifa ya ulaya kwa madai ya uminyaji wa demokrasia na kung'ang'ania madaraka ndipo Kabila aliamua kutangaza tarehe rasmi ya kufanyika uchaguzi na jambo lililowafurahisha wengi ni pale alipotangaza kuwa hatashiriki katika uchaguzi huo kama mgombea wa kiti cha urais kwakuwa muhula wake ushaisha kwa mujibu wa katiba ya Congo.

Uchaguzi uligubikwa na mashinikizo na maswali mengi yaliyokosa majibu. Kelele nyingi zilipigwa na kuwaaminisha wakongo kuwa chama tawala hakifai kuendelea kuwepo madarakani kwani hata asipogombea Kabila wananchi waliaminishwa kuwa mgombea yeyote wa chama tawala atakuwa kibaraka wa Kabila. Nyuma ya pazia mataifa ya ulaya kwa kushirikiana na vibaraka wao kama vile Kanisa Katoliki nchini Kongo walimuandaa mgombea wao ambaye akipita ataendesha Congo kwa maslahi yao binafsi.

Kabila kwa kutambua hilo akajua wananchi wana chuki dhidi ya chama tawala hivyo akifanya figisu kumpitisha mgombea wa chama tawala Shadary Ramadhan basi itazua machafuko nchini Kongo lakini pia akipita Martin Fayulu wa upinzani ndiye mgombea wa nchi za ulaya wanaempenda, kwa kuona hilo kwamba wakoloni wamemwaga ugali kwa kumchafulia chama chake na kumwekea vikwazo nae akaamua kumwaga mboga kwa kufanya figisu kumpitisha Felix Tshisekedi Tshilombo ambae sio papeti wa wakoloni mambo leo.

Ndio maana bado mataifa ya ulaya hadi leo wanatilia shaka matokeo ya urais nchini Kongo ila wanaogopa kuweka wazi kwakuwa wataulizwa shaka zenu mmezitolea wapi wakati nyie sio tume ya uchaguzi?

Mwaga ugali namwaga mboga! #Bado_somewhere
Wafuasi wa ma DICTATOR mnajitoa ufahamu, mpaka mnakera. Sisi hapa kwetu Tz katiba na tume yetu ni mbovu kupita kiasi . Lakini eti bado mna comment kuhusu chenga za Kabila kwa wa Zaire ?! . This is nonsense .

Tuzungumzie shida zetu zinatutosha. Angalau wao wamethubutu ,sisi na ujinga wetu tutajaribu vipi kwa tume hii inayomilikiwa na mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaaa ule mmea ukikolea kuuacha sio rahisi ila kama kaacha hongera yake

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa ninavyomjua kwa Kiasi changu na kwa baadhi hata ya Askari / Wanajeshi ambao pia walikuwa wakimlinda kipindi akiwa nchini Uganda kwa Rais Museveni pamoja na Dada yake Jane ambao hata Wao walimnyooshea Mikono juu kwa kupenda Kwake Kuvuta Bange / Bangi sidhani kama hadi hivi sasa atakuwa ameiacha na kama kweli ameacha basi ni wazi kabisa kwamba dalili za Ukombozi kutoka kwa Yesu Kristo zinakaribia hapa Ulimwenguni.
 
Ukimwaga mboga tunamwaga ugali. Chenga uliyowapiga wakoloni mamboleo hakika ni ya kimataifa na imethibitisha wewe ni mwanaume ambaye hujakubali kuwa mnyonge mbele ya mabeberu.

Soma kwa makini

Iko hivi, rais aliyemaliza mda wake wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila aliwekewa vikwazo vingi na mataifa ya ulaya kwa madai ya uminyaji wa demokrasia na kung'ang'ania madaraka ndipo Kabila aliamua kutangaza tarehe rasmi ya kufanyika uchaguzi na jambo lililowafurahisha wengi ni pale alipotangaza kuwa hatashiriki katika uchaguzi huo kama mgombea wa kiti cha urais kwakuwa muhula wake ushaisha kwa mujibu wa katiba ya Congo.

Uchaguzi uligubikwa na mashinikizo na maswali mengi yaliyokosa majibu. Kelele nyingi zilipigwa na kuwaaminisha wakongo kuwa chama tawala hakifai kuendelea kuwepo madarakani kwani hata asipogombea Kabila wananchi waliaminishwa kuwa mgombea yeyote wa chama tawala atakuwa kibaraka wa Kabila. Nyuma ya pazia mataifa ya ulaya kwa kushirikiana na vibaraka wao kama vile Kanisa Katoliki nchini Kongo walimuandaa mgombea wao ambaye akipita ataendesha Congo kwa maslahi yao binafsi.

Kabila kwa kutambua hilo akajua wananchi wana chuki dhidi ya chama tawala hivyo akifanya figisu kumpitisha mgombea wa chama tawala Shadary Ramadhan basi itazua machafuko nchini Kongo lakini pia akipita Martin Fayulu wa upinzani ndiye mgombea wa nchi za ulaya wanaempenda, kwa kuona hilo kwamba wakoloni wamemwaga ugali kwa kumchafulia chama chake na kumwekea vikwazo nae akaamua kumwaga mboga kwa kufanya figisu kumpitisha Felix Tshisekedi Tshilombo ambae sio papeti wa wakoloni mambo leo.

Ndio maana bado mataifa ya ulaya hadi leo wanatilia shaka matokeo ya urais nchini Kongo ila wanaogopa kuweka wazi kwakuwa wataulizwa shaka zenu mmezitolea wapi wakati nyie sio tume ya uchaguzi?

Mwaga ugali namwaga mboga! #Bado_somewhere
Hayo mawazo yako wazungu ni wazungu hata tsekedi anaweza kuwa wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisoma naye na tulikaa naye dawati moja kwa miaka 2. Ni rafiki yangu huwa tunawasiliana nami ninaenda sana Congo. Kabila ni mpole sana usoni, lakini anakili nyingi.

Ulisoma naye Ilambo au Sangu???


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hujui chochote ujinga wa kujiliwaza hapo rumumba kama issue ni ubeberu basi beberu namba moja ni felix aliyekua anaishi huko ubeberuni(ubeligiji) Jenga hoja nyingne achana na singeli yenu ya kishamba kwamba wanaopendwa na wananchi ni mabeberu.Hii ndio hoja mnaojifichia mabeberu wa Lumumba
Alikuwa akiishi kinchassa ya mu-congo nduku yangu wacha maneno minge!
Kama huyui baulize kina nyoshi ile bana musiki ya kikongomani banakaaka apo ndani ya muyi ya darisalaame! Ebo
IMG-20190112-WA0004.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui chochote ujinga wa kujiliwaza hapo rumumba kama issue ni ubeberu basi beberu namba moja ni felix aliyekua anaishi huko ubeberuni(ubeligiji) Jenga hoja nyingne achana na singeli yenu ya kishamba kwamba wanaopendwa na wananchi ni mabeberu.Hii ndio hoja mnaojifichia mabeberu wa Lumumba
Copy and paste toka Kwa Toto Le kubwa la waziri mstaafu.Kanisa limepigwa vipi chenga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimwaga mboga tunamwaga ugali. Chenga uliyowapiga wakoloni mamboleo hakika ni ya kimataifa na imethibitisha wewe ni mwanaume ambaye hujakubali kuwa mnyonge mbele ya mabeberu.

Soma kwa makini

Iko hivi, rais aliyemaliza mda wake wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila aliwekewa vikwazo vingi na mataifa ya ulaya kwa madai ya uminyaji wa demokrasia na kung'ang'ania madaraka ndipo Kabila aliamua kutangaza tarehe rasmi ya kufanyika uchaguzi na jambo lililowafurahisha wengi ni pale alipotangaza kuwa hatashiriki katika uchaguzi huo kama mgombea wa kiti cha urais kwakuwa muhula wake ushaisha kwa mujibu wa katiba ya Congo.

Uchaguzi uligubikwa na mashinikizo na maswali mengi yaliyokosa majibu. Kelele nyingi zilipigwa na kuwaaminisha wakongo kuwa chama tawala hakifai kuendelea kuwepo madarakani kwani hata asipogombea Kabila wananchi waliaminishwa kuwa mgombea yeyote wa chama tawala atakuwa kibaraka wa Kabila. Nyuma ya pazia mataifa ya ulaya kwa kushirikiana na vibaraka wao kama vile Kanisa Katoliki nchini Kongo walimuandaa mgombea wao ambaye akipita ataendesha Congo kwa maslahi yao binafsi.

Kabila kwa kutambua hilo akajua wananchi wana chuki dhidi ya chama tawala hivyo akifanya figisu kumpitisha mgombea wa chama tawala Shadary Ramadhan basi itazua machafuko nchini Kongo lakini pia akipita Martin Fayulu wa upinzani ndiye mgombea wa nchi za ulaya wanaempenda, kwa kuona hilo kwamba wakoloni wamemwaga ugali kwa kumchafulia chama chake na kumwekea vikwazo nae akaamua kumwaga mboga kwa kufanya figisu kumpitisha Felix Tshisekedi Tshilombo ambae sio papeti wa wakoloni mambo leo.

Ndio maana bado mataifa ya ulaya hadi leo wanatilia shaka matokeo ya urais nchini Kongo ila wanaogopa kuweka wazi kwakuwa wataulizwa shaka zenu mmezitolea wapi wakati nyie sio tume ya uchaguzi?

Mwaga ugali namwaga mboga! #Bado_somewhere
Good narrative lakini umesahau kitu moja, Kabila akikataa kata kata uchaguzi mkuu kudhaminiwa na fedha za wafadhili.

Pesa yote ya uchaguzi ilitokana na vyanzo vya ndani.... Hio ilisaidia pia kupunguza presha kutoka nje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani nikama vile TL au Zitto ashinde uraisi alafu NEC imtangaze Lipumba :p:p.
Wanaoitwa wanademokrasia wanabaki japo huyo ni mpinzani lakini ni mpinzani feki ambaye tulikuwa bado hatujampanga na kumuandaa vizuri. Kaazi kwelikweli.

Hii inanikumbusha uchaguzi wa 2006 wa Palestina. Wazungu wote wa Ulaya na Marekani walipiga kelele kuwa wapalestina wapewe haki yao ya kuchagua na ilikuwa uchaguzi wa kwanza tangu Arafat afariki. Wapalestina kwa mahaba yao wakachagua Hamas kwa wingi hasa Gaza Strip. Wacha wazungu wakasirike, wamerekani wakawakatia misaada na kushinikiza wa Ulaya nao wafanye hivyo. Israel ikahakikisha Hamas iliyokuwa Gaza Strip na Fatah waliokuwa West Bank chini ya Habbas wanakosa mawasiliano na hawashirikiani. Kudaadeki. Mzungu sio wa mchezomchezo. Anakupa ´´demokrasia´´ anayotaka upate. Uhuru wakujiamulia unakuwa nao as long as unajiamulia alichokuamulia yeye.
 
Jamaa alikua anakula ndumu balaa sijui kaacha yaani anakula Nyasi kama Mbuzi jike
 
Ukimwaga mboga tunamwaga ugali. Chenga uliyowapiga wakoloni mamboleo hakika ni ya kimataifa na imethibitisha wewe ni mwanaume ambaye hujakubali kuwa mnyonge mbele ya mabeberu.

Soma kwa makini

Iko hivi, rais aliyemaliza mda wake wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila aliwekewa vikwazo vingi na mataifa ya ulaya kwa madai ya uminyaji wa demokrasia na kung'ang'ania madaraka ndipo Kabila aliamua kutangaza tarehe rasmi ya kufanyika uchaguzi na jambo lililowafurahisha wengi ni pale alipotangaza kuwa hatashiriki katika uchaguzi huo kama mgombea wa kiti cha urais kwakuwa muhula wake ushaisha kwa mujibu wa katiba ya Congo.

Uchaguzi uligubikwa na mashinikizo na maswali mengi yaliyokosa majibu. Kelele nyingi zilipigwa na kuwaaminisha wakongo kuwa chama tawala hakifai kuendelea kuwepo madarakani kwani hata asipogombea Kabila wananchi waliaminishwa kuwa mgombea yeyote wa chama tawala atakuwa kibaraka wa Kabila. Nyuma ya pazia mataifa ya ulaya kwa kushirikiana na vibaraka wao kama vile Kanisa Katoliki nchini Kongo walimuandaa mgombea wao ambaye akipita ataendesha Congo kwa maslahi yao binafsi.

Kabila kwa kutambua hilo akajua wananchi wana chuki dhidi ya chama tawala hivyo akifanya figisu kumpitisha mgombea wa chama tawala Shadary Ramadhan basi itazua machafuko nchini Kongo lakini pia akipita Martin Fayulu wa upinzani ndiye mgombea wa nchi za ulaya wanaempenda, kwa kuona hilo kwamba wakoloni wamemwaga ugali kwa kumchafulia chama chake na kumwekea vikwazo nae akaamua kumwaga mboga kwa kufanya figisu kumpitisha Felix Tshisekedi Tshilombo ambae sio papeti wa wakoloni mambo leo.

Ndio maana bado mataifa ya ulaya hadi leo wanatilia shaka matokeo ya urais nchini Kongo ila wanaogopa kuweka wazi kwakuwa wataulizwa shaka zenu mmezitolea wapi wakati nyie sio tume ya uchaguzi?

Mwaga ugali namwaga mboga! #Bado_somewhere

Badala ya kuwapa pole unawasimanga, hii akili kweli?
Wewe huoni matatizo yanayolikabili taifa hili jirani. Kuna nini hapo cha kufurahia na kujipongeza unakokufanya hapa..
Watu wengine bure kabisa. Hakuna lolote hapa la kufurahisha wala kupongeza.
 
Hujui chochote ujinga wa kujiliwaza hapo rumumba kama issue ni ubeberu basi beberu namba moja ni felix aliyekua anaishi huko ubeberuni(ubeligiji) Jenga hoja nyingne achana na singeli yenu ya kishamba kwamba wanaopendwa na wananchi ni mabeberu.Hii ndio hoja mnaojifichia mabeberu wa Lumumba
Yaani ujinga Lumumba in Kama ugonjwa wa Ebola ukiingia mahali, kutoka ni kazi maana unaambukiza.
Nikiangalia naona naona lumumba kila siku wanazaliwa wajinga wapya utadhani wakongwe Lizaboni na Ritz wamejamiiana na kuzaa hii mitoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimsingi ni kwamba jamaa amecheza gemu ambayo dah itaingia kwenye historia aisee.Wacongo wenyewe wamebaki kama hawajielewi kwa sasa.

Nasikia Chama cha Kabila kimeramba viti vingi vya ubunge na madiwani,kwa maana hiyo jamaa aliyeshinda atalazimika kuunda serikali kwa kushirikiana na Chama cha Rais Kabila,most probably ndiyo kitakachotoa Waziri Mkuu na kupata baadhi ya nyadhifa serikalini[A government sharing agreement].Hapa kivuli cha Kabila ukikwepi.

Inshort jamaa alikuwa anatafuta mwisho mwema.Nasikia angeshinda kipenzi cha kanisa.Huyu jamaa ICC na kesi za uhujumu uchumi zingemhusu sana.Hila acha tuangalie gemu linavyoendele huko kwa pilato.
 
Yaani wewe umeshaharibika, unaonekana wewe ni shabiki wa wizi, uongo, cheating na mambo machafu kama hayo. Hiyo chenga" ya kabila unaifurahia ukiwa na dhamira ipi? Halafu eti kanisa katoliki ni kibaraka!! Real? Pathetic!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom