Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,220
- 12,937
Naam Wapendwa Habari za Ijumaa..!
Tuangazie kile kinachoendelea pale Nchini Congo mara baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa na kumpa ushindi Tshisekedi. Mh Joseph Kabila karata alizozichanga inaonekana zinawavuruga mabeberu pamoja na mawakala wao!
Mabeberu inaonekana walileta michango yao mikubwa na kuwekeza kwa nguvu zote kwa chama kikuu cha Upinzani nchini Congo kupitia mgombea wake Martin Fayulu, Marekani alileta mpaka wanajeshi eti machafuko yakitokea waliende wananchi wake wanaoishi Congo..! Je! Marekani alikuwa na agenda yake ya siri kuleta wanajeshi wake pale Gabon?
Marekani sasa imetoa tamko rasmi ikiitaka CENI iwathibitishie kama kweli felix Tshikedi alishinda wakati huo huo Ufaransa nayo imesema mshindi hakuwa Felix Tshesekedi bali alikuwa Martin Fayulu! huku kanisa la RC nalo likitzungumza hayo hayo sawa na wakoloni wao!
Je, kabila alikuwa anajua mipango ya Mabeberu dhidi ya taifa lao la Congo kuwa wqnaushirika mkubwa na Martin Fayulu..?
Kwangu mimi uenda Kabila aliona hali ya hewa isichafuke bora Taifa libaki salama heri Felix Tshisekedi kuliko Martini Fayulu huku akijua kuwa endapo angetangazwa mshindi kupitia chama Tawala Emmanuel Ramazani Shadary Congo ingechafuka sana kwa vurugu na hiki uenda ata Marekani walikitarajia sasa mambo yamegeuka ghafla bila yeyote kutarajia na mshindi ni Felix Tshisekedi.
Tuangazie kile kinachoendelea pale Nchini Congo mara baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa na kumpa ushindi Tshisekedi. Mh Joseph Kabila karata alizozichanga inaonekana zinawavuruga mabeberu pamoja na mawakala wao!
Mabeberu inaonekana walileta michango yao mikubwa na kuwekeza kwa nguvu zote kwa chama kikuu cha Upinzani nchini Congo kupitia mgombea wake Martin Fayulu, Marekani alileta mpaka wanajeshi eti machafuko yakitokea waliende wananchi wake wanaoishi Congo..! Je! Marekani alikuwa na agenda yake ya siri kuleta wanajeshi wake pale Gabon?
Marekani sasa imetoa tamko rasmi ikiitaka CENI iwathibitishie kama kweli felix Tshikedi alishinda wakati huo huo Ufaransa nayo imesema mshindi hakuwa Felix Tshesekedi bali alikuwa Martin Fayulu! huku kanisa la RC nalo likitzungumza hayo hayo sawa na wakoloni wao!
Je, kabila alikuwa anajua mipango ya Mabeberu dhidi ya taifa lao la Congo kuwa wqnaushirika mkubwa na Martin Fayulu..?
Kwangu mimi uenda Kabila aliona hali ya hewa isichafuke bora Taifa libaki salama heri Felix Tshisekedi kuliko Martini Fayulu huku akijua kuwa endapo angetangazwa mshindi kupitia chama Tawala Emmanuel Ramazani Shadary Congo ingechafuka sana kwa vurugu na hiki uenda ata Marekani walikitarajia sasa mambo yamegeuka ghafla bila yeyote kutarajia na mshindi ni Felix Tshisekedi.