A man with no name
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 1,098
- 1,498
Habarini za jioni wanandugu,
Nimekuja kwenu kuomba kufahamishwa au kuelimishwa namna ya kutengeneza chakula kwa ajili ya kuku, chakula hicho kikiwa na virutubisho vyote pamoja na madini yote.
Naombeni muongozo wenu katika hili
Asanteni
Nimekuja kwenu kuomba kufahamishwa au kuelimishwa namna ya kutengeneza chakula kwa ajili ya kuku, chakula hicho kikiwa na virutubisho vyote pamoja na madini yote.
Naombeni muongozo wenu katika hili
Asanteni