miamiatz
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 504
- 927
Mimi ni muumini wa msemo usemao Tanzania kazi ni nyingi sana ila ushirikiano ndio mdogo sana.
Kuna watu wanajua sana kuandaa proposal mpaka wakapewa kazi fulani ila ile kazi hawaiwezi. Kuna wale wanaojua kazi mwanzo mwisho ila kuandaa proposal yenye ushawishi hawawezi.
Changamoto kubwa kuwaunganisha hawa watu wawili. Kila mmoja anapambania upande wake. Nina hakika kama Watanzania wangekuwa na teamwork kama Wachina basi kuna mambo mengi yangepata ufumbuzi na suala la ukata wa ajira lingepungua makali.
Hata asilimia kubwa ya kampuni nyingi changa za teknolojia nchini China na India zimeasisiwa na umoja wa vijana kadhaa walioamua kuunganisha nguvu zao na uwezo wao katika kukabiliana na changamoto ya ukata wa ajira.
Kuna watu wanajua sana kuandaa proposal mpaka wakapewa kazi fulani ila ile kazi hawaiwezi. Kuna wale wanaojua kazi mwanzo mwisho ila kuandaa proposal yenye ushawishi hawawezi.
Changamoto kubwa kuwaunganisha hawa watu wawili. Kila mmoja anapambania upande wake. Nina hakika kama Watanzania wangekuwa na teamwork kama Wachina basi kuna mambo mengi yangepata ufumbuzi na suala la ukata wa ajira lingepungua makali.
Hata asilimia kubwa ya kampuni nyingi changa za teknolojia nchini China na India zimeasisiwa na umoja wa vijana kadhaa walioamua kuunganisha nguvu zao na uwezo wao katika kukabiliana na changamoto ya ukata wa ajira.