apprentice1997
Senior Member
- Jun 8, 2016
- 107
- 99
Habari wadau, ninajihusisha kuendesha tovuti ya masomo kwa ajili ya wanafunzi wa sekondari. Kitu kinachoniumiza kuwa sasa ni mwaka 1 toka website Hii iwe hewani sijafaidika na kitu chochote (sina kipato) ukilinganisha na jina na umaarufu. Naombeni ushauri nitumie njia gani kuweza kupata fund za kussuport hii project, maana sasa Nina idea nyingi tu ila nashindwa kuziimplement sababu sina hela na kiasi Fulani nimekata tamaa na sipendi kupoteza muda zaidi na huku kazi hainilipi. Nimefikiria kuwafata viongozi wa mkoa wa serikali kwa maana ya mbunge, DC na rc je watanisaidia kufanikisha azma yangu. Nina uwezo wa kuandika proposals kidogo je endapo nitafanya hivi nitafanikiwa. Asante