Heshima gani?
Jimbo la florida lina vyuo vikuu vikubwa viwili vyenye heshima kubwa... ambavyo ni university of Florida ambayo wanafunzi wake na alumni wanaitwa gators na florida state university ambayo wanafunzi wake na alumni wanaitwa seminoles..
Marekani wana ligi za michezo za vyuo vikuu.. sasa hao mashabiki wa gators na seminoles wana heshimika sana balaa lao.. pia hivyo vyuo vina heshima sana kwenye utafiti