Jinsi gani Newton's fitst law of motion inavyoweza kutumika kuelezea madikteta duniani na tabia zao

We jamaa naomba nikuulize swali...HIVI CHADEMA wamekuajili???
Daah jamaa naona maisha yako ni JF...wewe haijawahi pita siku wala sekunde haujaandika UHARO humu ndani??
Sasa nimeanza kuamini kuna kakikundi humu maususi kuajili ya KUANDIKA UCHOCHEZI.....
Ebu acha kutumiwa na KINA MBOWE....unapoteza mkuu......Fanya kazi zilizo HALALI achana na kazi za KULETA UCHOCHEZI.......Ogopa sana damu za watu zitakapo kuja kumwagika kwa sababu ya UPUUZI wako....
Huu wimbo wa dikteta dikteta mataimba mpaka lini?????HIVI MNAWAJUA MADIKTETA KWELI???...susingepata muda wa kuwa unashinda JF kuandika UHARO
msen*nge mkubwa wewe mbwa, JF yenyewe ipo mbioni kufungwa, wameiacha kwa sababu bado wanatafuta namna ya kutudukua, wakiona wameshindwa kabisa inafungwa, Pumbavu wewe.
 
We jamaa naomba nikuulize swali...HIVI CHADEMA wamekuajili???
Daah jamaa naona maisha yako ni JF...wewe haijawahi pita siku wala sekunde haujaandika UHARO humu ndani??
Sasa nimeanza kuamini kuna kakikundi humu maususi kuajili ya KUANDIKA UCHOCHEZI.....
Ebu acha kutumiwa na KINA MBOWE....unapoteza mkuu......Fanya kazi zilizo HALALI achana na kazi za KULETA UCHOCHEZI.......Ogopa sana damu za watu zitakapo kuja kumwagika kwa sababu ya UPUUZI wako....
Huu wimbo wa dikteta dikteta mataimba mpaka lini?????HIVI MNAWAJUA MADIKTETA KWELI???...susingepata muda wa kuwa unashinda JF kuandika UHARO
Kwny mada kataja Chadema??
 
Huu uzi ni mzuri sana. Ila mnauharibu kwa kuingiza siasa, hususan siasa za hapa Tanzania. Ebu tuweni makini kwenye kuchangia mada
 
BTW kwa mtazamo wangu naona iyo law imezungumzia pia maisha ya binadam wa kawaida, ambae bado yupo gizani au kwenye illusion. Kwa iyo hawezi kutoka hapo alipo Kama hatofikiria nje ya box
lifecoded akipita hapa atatoa maelezo zaidi

Mkuu jamaa kashamaliza tena kajaribu kuitolea ufafanuzi zaidi..

Ukiwa kwenye Illusion utaendelea kuwa kwenye illusion mpaka mwisho unless new ideas ( to reality) zitakapokuwa impossed kwako ndo unaweza ukachange.

Bila kupata maelezo mapya ya maana kuhusu reality ya maisha ,utaendelea kubaki gizani mpaka mwisho wa life lako.

Mtu akishafunuliwa katika reality ,maisha yake yataendelea kuwa katika dimension view kubwa sana na atakuwa anazidi kuishi katika high reality zaidi..kwake yeye ukweli utakuwa unajileta tu...hatatumia nguvu nyingi kupata reality au ukweli juu ya jambo flani ..

=============

Ukishakuwa na akili nzito ,haitakuja kupata nafuu ya kutoka gizani mpaka uruhusu kitu kipya kuchallange ufahamu wako...

Wengi wanao elewa mambo akili zao wamezilegeza( Empty what they know and impose new ideas and filter incoming news).

Wale wagumu wa kuruhusu challange ya ufahamu wetu mara nyingi tunakuwa stiff naked na reality na huwa tunakuwa tumeathirika zaidi na core-believe za mapokeo tuliyoyakuta.

Newton alikuwa anaelezea mambo kwa siri sana...ukichukua laws zake kichwa kichwa utaishia kuzifanyia tafsiri kinematically tu ( Motion in straight line) , ila kiukweli zilikuwa zinagusa mpka reality ya maisha tunayoishi...

Jamaaa aliacha laws nyingi sana ila wenye Ulimwengu huu wakaamua kutulisha matango na kusema zipo laws tatu tu ..

Ila nakumbuka kuna laws Nne za Newton alizoziacha na hiyo ya nne inaelezea uhusiano kati ya Civilization ya Mwanadamu na Extraterrestrial beings...

Ila kwa kuwa wenye ulimwengu hawataki kuwaka ufahamu wa kutosha kwa mwanadamu na viumbe wengine , wakaamua kuitoa kwenye mfumo wa kawaida wa Syllubus shuleni..

Hii law ya nne kutolewa ufafanuzi imeguwa siri sana....hawa watu bana..daaaah...Pengine ndo ingetuweka wazi juu ya uwepo wa hao viumbe na uhusiano wa mwanadamu na viumbe wa mbali pengine mwanadamu angejuwa uwazi wa mambo hayo..
Screenshot_20190111-235646~2.jpg




Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20190111-235532~2.jpg
    Screenshot_20190111-235532~2.jpg
    77.6 KB · Views: 32
Mkuu jamaa kashamaliza tena kajaribu kuitolea ufafanuzi zaidi..

Ukiwa kwenye Illusion utaendelea kuwa kwenye illusion mpaka mwisho unless new ideas ( to reality) zitakapokuwa impossed kwako ndo unaweza ukachange.

Bila kupata maelezo mapya ya maana kuhusu reality ya maisha ,utaendelea kubaki gizani mpaka mwisho wa life lako.

Mtu akishafunuliwa katika reality ,maisha yake yataendelea kuwa katika dimension view kubwa sana na atakuwa anazidi kuishi katika high reality zaidi..kwake yeye ukweli utakuwa unajileta tu...hatatumia nguvu nyingi kupata reality au ukweli juu ya jambo flani ..

=============

Ukishakuwa na akili nzito ,haitakuja kupata nafuu ya kutoka gizani mpaka uruhusu kitu kipya kuchallange ufahamu wako...

Wengi wanao elewa mambo akili zao wamezilegeza( Empty what they know and impose new ideas and filter incoming news).

Wale wagumu wa kuruhusu challange ya ufahamu wetu mara nyingi tunakuwa stiff naked na reality na huwa tunakuwa tumeathirika zaidi na core-believe za mapokeo tuliyoyakuta.

Newton alikuwa anaelezea mambo kwa siri sana...ukichukua laws zake kichwa kichwa utaishia kuzifanyia tafsiri kinematically tu ( Motion in straight line) , ila kiukweli zilikuwa zinagusa mpka reality ya maisha tunayoishi...

Jamaaa aliacha laws nyingi sana ila wenye Ulimwengu huu wakaamua kutulisha matango na kusema zipo laws tatu tu ..

Ila nakumbuka kuna laws Nne za Newton alizoziacha na hiyo ya nne inaelezea uhusiano kati ya Civilization ya Mwanadamu na Extraterrestrial beings...

Ila kwa kuwa wenye ulimwengu hawataki kuwaka ufahamu wa kutosha kwa mwanadamu na viumbe wengine , wakaamua kuitoa kwenye mfumo wa kawaida wa Syllubus shuleni..

Hii law ya nne kutolewa ufafanuzi imeguwa siri sana....hawa watu bana..daaaah...Pengine ndo ingetuweka wazi juu ya uwepo wa hao viumbe na uhusiano wa mwanadamu na viumbe wa mbali pengine mwanadamu angejuwa uwazi wa mambo hayo..
View attachment 992199



Sent using Jamii Forums mobile app

Yani mkuu hizi law Kama zikifatwa tofauti na jinsi tulivofundishwa shuleni it will add a value in our lives
BTW watu wanazichukulia simple as they taught in school
 
Habari wakuu,

Kwa wale waliobahatika kupata elimu ya sekondari bila shaka walijifunza kitu kinachoitwa Newton's law of motion ambazo ziko tatu:First Newton's law of motion, second law na third law.

Hapa interest yangu ni Newton"s first law of motino ambayo inasema:

Everybody will continue in its state of rest or uniform motion in a straight line unless compelled by some external forces to act otherwise.

Simple explanation:

Kitu chochote kitabaki mahala kilipo mpaka pale itakapotokea nguvu ya kukiondoa kwa maana ya kukisukuma, kukibeba, n.k na pia kama kitu hicho kiko katika mwendo, basi kitu hicho kitandelea katika spidi ile ile na uelekeo ule ule mpaka itokee nguvu ya kukifanya kibadili spidi yake na uelekeo wake.

Ni namna gani sheria hii ya Newton inaweza kuwa modified na kutumika kueleza madikteta duniani.

Si vinginevyo bali ni hivi:

Every dictator will continue with his actions of killing, torturing, abduction, oppression, violating country constitution,etc,unless he is compelled by some external forces to act otherwise or change his behaviour.


Kama upo mfano wa dikteta duniani aliewahi kuacha udikteta wake bila kushinikizwa au kuondolewa madarakani, basi nitafuta hayo maneno yangu hayo hapo juu, lakini kama hakuna,na kama ambavyo mimi binafsi naamini,basi nakuomba utafakari hayo maneno yangu.

Huhitaji kufanya research wala uchunguzi wa aina yoyote ile kuthibitisha ukweli huu zaidi tu ya kusoma historia ya madiketa duniani.


In our case, there are no external forces strong enough to act the otherwise and therefore the Newtonian law is not applicable. 🤣🤣
 
Kitu chochote kitabaki mahala kilipo mpaka pale itakapotokea nguvu ya kukiondoa kwa maana ya kukisukuma, kukibeba, n.k na pia kama kitu hicho kiko katika mwendo, basi kitu hicho kitandelea katika spidi ile ile na uelekeo ule ule mpaka itokee nguvu ya kukifanya kibadili spidi yake na uelekeo wake.
Hapana, hakusema hivyo, hapo nilipoweka uwekundu. Kitu kitaendelea kutembea kwenye mstari ulionyooka bila kupinda, mpaka pale kitakapokutana na nguvu nyingine (tofauti na ile ilyokianzishia mwendo), ya kukisababisha kiweze kupinda na kubadilisha uelekeo. Hata hivyo kitu hakiwezi kuendelea kutembea kwa mwendokasi ule ule bila kupungua kwa sababu kuna msuguano kati yake na uso wa wa kitu au ardhi kinamotembelae. Kitu kinaweza tu kuendelea kutembea kwa spidi ile ile pasipo kupatiwa nguvu ya nyongeza ya kukifanya kiendelee kutembea katika spidi hiyo, IWAPO TU kinatembea kwenye uso ambao hauno msuguano (frictionless surface), uso ambao haupo hapa duniani, sijui labda kwenye sayari zingine. Na kama uso wa dunia yetu ungekuwa frictionless, basi tungekuwa tunateleza tu kila siku, tusingeweza kutembea tena. Kwa nini ulishawahi kuanguka kwenye tope bila kupenda siku ulipokanyaga kwenye tope lenye utelezi?
 
We jamaa naomba nikuulize swali...HIVI CHADEMA wamekuajili???
Daah jamaa naona maisha yako ni JF...wewe haijawahi pita siku wala sekunde haujaandika UHARO humu ndani??
Sasa nimeanza kuamini kuna kakikundi humu maususi kuajili ya KUANDIKA UCHOCHEZI.....
Ebu acha kutumiwa na KINA MBOWE....unapoteza mkuu......Fanya kazi zilizo HALALI achana na kazi za KULETA UCHOCHEZI.......Ogopa sana damu za watu zitakapo kuja kumwagika kwa sababu ya UPUUZI wako....
Huu wimbo wa dikteta dikteta mataimba mpaka lini?????HIVI MNAWAJUA MADIKTETA KWELI???...susingepata muda wa kuwa unashinda JF kuandika UHARO
Umeandika ugoro mtupu!!!
 
Habari wakuu,

Kwa wale waliobahatika kupata elimu ya sekondari bila shaka walijifunza kitu kinachoitwa Newton's law of motion ambazo ziko tatu:First Newton's law of motion, second law na third law.

Hapa interest yangu ni Newton"s first law of motino ambayo inasema:

Everybody will continue in its state of rest or uniform motion in a straight line unless compelled by some external forces to act otherwise.

Simple explanation:

Kitu chochote kitabaki mahala kilipo mpaka pale itakapotokea nguvu ya kukiondoa kwa maana ya kukisukuma, kukibeba, n.k na pia kama kitu hicho kiko katika mwendo, basi kitu hicho kitandelea katika spidi ile ile na uelekeo ule ule mpaka itokee nguvu ya kukifanya kibadili spidi yake na uelekeo wake.

Ni namna gani sheria hii ya Newton inaweza kuwa modified na kutumika kueleza madikteta duniani.

Si vinginevyo bali ni hivi:

Every dictator will continue with his actions of killing, torturing, abduction, oppression, violating country constitution,etc,unless he is compelled by some external forces to act otherwise or change his behaviour.

Kama upo mfano wa dikteta duniani aliewahi kuacha udikteta wake bila kushinikizwa au kuondolewa madarakani, basi nitafuta hayo maneno yangu hayo hapo juu, lakini kama hakuna,na kama ambavyo mimi binafsi naamini,basi nakuomba utafakari hayo maneno yangu.

Huhitaji kufanya research wala uchunguzi wa aina yoyote ile kuthibitisha ukweli huu zaidi tu ya kusoma historia ya madiketa duniani.
O
Hapana, hakusema hivyo, hapo nilipoweka uwekundu. Kitu kitaendelea kutembea kwenye mstari ulionyooka bila kupinda, mpaka pale kitakapokutana na nguvu nyingine (tofauti na ile ilyokianzishia mwendo), ya kukisababisha kiweze kupinda na kubadilisha uelekeo. Hata hivyo kitu hakiwezi kuendelea kutembea kwa mwendokasi ule ule bila kupungua kwa sababu kuna msuguano kati yake na uso wa wa kitu au ardhi kinamotembelae. Kitu kinaweza tu kuendelea kutembea kwa spidi ile ile pasipo kupatiwa nguvu ya nyongeza ya kukifanya kiendelee kutembea katika spidi hiyo, IWAPO TU kinatembea kwenye uso ambao hauno msuguano (frictionless surface), uso ambao haupo hapa duniani, sijui labda kwenye sayari zingine. Na kama uso wa dunia yetu ungekuwa frictionless, basi tungekuwa tunateleza tu kila siku, tusingeweza kutembea tena. Kwa nini ulishawahi kuanguka kwenye tope bila kupenda siku ulipokanyaga kwenye tope lenye utelezi?
OK uko shaihi, nili-overlook kitu. Nilidhani katika maelezo yako umeondoa swala la friction. Nimebaini kuwa nguvu nyingine unayoiongelea ina-include friction pia. Maelezo yako yako sahihi kabisa
 
Hapana, hakusema hivyo, hapo nilipoweka uwekundu. Kitu kitaendelea kutembea kwenye mstari ulionyooka bila kupinda, mpaka pale kitakapokutana na nguvu nyingine (tofauti na ile ilyokianzishia mwendo), ya kukisababisha kiweze kupinda na kubadilisha uelekeo. Hata hivyo kitu hakiwezi kuendelea kutembea kwa mwendokasi ule ule bila kupungua kwa sababu kuna msuguano kati yake na uso wa wa kitu au ardhi kinamotembelae. Kitu kinaweza tu kuendelea kutembea kwa spidi ile ile pasipo kupatiwa nguvu ya nyongeza ya kukifanya kiendelee kutembea katika spidi hiyo, IWAPO TU kinatembea kwenye uso ambao hauno msuguano (frictionless surface), uso ambao haupo hapa duniani, sijui labda kwenye sayari zingine. Na kama uso wa dunia yetu ungekuwa frictionless, basi tungekuwa tunateleza tu kila siku, tusingeweza kutembea tena. Kwa nini ulishawahi kuanguka kwenye tope bila kupenda siku ulipokanyaga kwenye tope lenye utelezi?
Kumbuka hapo teyari umeongelea friction force na hiyo ndio itasababisha kitu hicho kupungua mwendo au kusimama hivyo jitafakari kama uko sahihi katika kupinga hoja yangu.
 
Kumbuka hapo teyari umeongelea friction force na hiyo ndio itasababisha kitu hicho kupungua mwendo au kusimama hivyo jitafakari kama uko sahihi katika kupinga hoja yangu.
OK uko shaihi, nili-overlook kitu. Nilidhani katika maelezo yako umeondoa swala la friction. Nimebaini kuwa nguvu nyingine unayoiongelea ina-include friction pia. Maelezo yako yako sahihi kabisa
 
Umetulia. Hizi kanuni za Fizikia huwa siyo rahisi mtu akazitafsiri kwa Kiswahil. Tafsiri zake kwa Kiswahili huwa zinachenga kidogo
Ni kweli kabisa mkuu.Kiswahili ni kama hakijitoshelezi au sisi wenyewe hatuijui misamiati ya kiswahili
 
Mkuu mbona kama ujielewi unapaparikia uzi kuna wap alipomtaja mtu au wewe mdo unatumika vibaya kisiasa
We jamaa naomba nikuulize swali...HIVI CHADEMA wamekuajili???
Daah jamaa naona maisha yako ni JF...wewe haijawahi pita siku wala sekunde haujaandika UHARO humu ndani??
Sasa nimeanza kuamini kuna kakikundi humu maususi kuajili ya KUANDIKA UCHOCHEZI.....
Ebu acha kutumiwa na KINA MBOWE....unapoteza mkuu......Fanya kazi zilizo HALALI achana na kazi za KULETA UCHOCHEZI.......Ogopa sana damu za watu zitakapo kuja kumwagika kwa sababu ya UPUUZI wako....
Huu wimbo wa dikteta dikteta mataimba mpaka lini?????HIVI MNAWAJUA MADIKTETA KWELI???...susingepata muda wa kuwa unashinda JF kuandika UHARO
 
Habari wakuu,

Kwa wale waliobahatika kupata elimu ya sekondari bila shaka walijifunza kitu kinachoitwa Newton's law of motion ambazo ziko tatu:First Newton's law of motion, second law na third law.

Hapa interest yangu ni Newton"s first law of motino ambayo inasema:

Everybody will continue in its state of rest or uniform motion in a straight line unless compelled by some external forces to act otherwise.

Simple explanation:

Kitu chochote kitabaki mahala kilipo mpaka pale itakapotokea nguvu ya kukiondoa kwa maana ya kukisukuma, kukibeba, n.k na pia kama kitu hicho kiko katika mwendo, basi kitu hicho kitandelea katika spidi ile ile na uelekeo ule ule mpaka itokee nguvu ya kukifanya kibadili spidi yake na uelekeo wake.

Ni namna gani sheria hii ya Newton inaweza kuwa modified na kutumika kueleza madikteta duniani.

Si vinginevyo bali ni hivi:

Every dictator will continue with his actions of killing, torturing, abduction, oppression, violating country constitution,etc,unless he is compelled by some external forces to act otherwise or change his behaviour.


Kama upo mfano wa dikteta duniani aliewahi kuacha udikteta wake bila kushinikizwa au kuondolewa madarakani, basi nitafuta hayo maneno yangu hayo hapo juu, lakini kama hakuna,na kama ambavyo mimi binafsi naamini,basi nakuomba utafakari hayo maneno yangu.

Huhitaji kufanya research wala uchunguzi wa aina yoyote ile kuthibitisha ukweli huu zaidi tu ya kusoma historia ya madiketa duniani.
Yet Kuna mbwa watataka kuombewa kwenye nyumba za ibada wakati wa kuwaombea ni hawa wenye ID zao Bora kabisa.
 
Habari wakuu,

Kwa wale waliobahatika kupata elimu ya sekondari bila shaka walijifunza kitu kinachoitwa Newton's law of motion ambazo ziko tatu:First Newton's law of motion, second law na third law.

Hapa interest yangu ni Newton"s first law of motino ambayo inasema:

Everybody will continue in its state of rest or uniform motion in a straight line unless compelled by some external forces to act otherwise.

Simple explanation:

Kitu chochote kitabaki mahala kilipo mpaka pale itakapotokea nguvu ya kukiondoa kwa maana ya kukisukuma, kukibeba, n.k na pia kama kitu hicho kiko katika mwendo, basi kitu hicho kitandelea katika spidi ile ile na uelekeo ule ule mpaka itokee nguvu ya kukifanya kibadili spidi yake na uelekeo wake.

Ni namna gani sheria hii ya Newton inaweza kuwa modified na kutumika kueleza madikteta duniani.

Si vinginevyo bali ni hivi:

Every dictator will continue with his actions of killing, torturing, abduction, oppression, violating country constitution,etc,unless he is compelled by some external forces to act otherwise or change his behaviour.


Kama upo mfano wa dikteta duniani aliewahi kuacha udikteta wake bila kushinikizwa au kuondolewa madarakani, basi nitafuta hayo maneno yangu hayo hapo juu, lakini kama hakuna,na kama ambavyo mimi binafsi naamini,basi nakuomba utafakari hayo maneno yangu.

Huhitaji kufanya research wala uchunguzi wa aina yoyote ile kuthibitisha ukweli huu zaidi tu ya kusoma historia ya madiketa duniani.
every body maana yake nini eti??
 
Back
Top Bottom