computerkiddy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2015
- 488
- 532
Wakuu habari zenu,
Natafuta jinsi ambavyo NECTA wanapanga mashule na hatimaye kupata shule iliyofanya vizuri kuliko zote. Pia nataka kujua namna ya kucalculate average school GPA.
Kama kuna formula maalumu naombeni mnipe maujuzi.
Thanks in advance
vladimir fuschs
Natafuta jinsi ambavyo NECTA wanapanga mashule na hatimaye kupata shule iliyofanya vizuri kuliko zote. Pia nataka kujua namna ya kucalculate average school GPA.
Kama kuna formula maalumu naombeni mnipe maujuzi.
Thanks in advance
vladimir fuschs