The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,147
Wakuu ni kwa namna gani naweza kuitafuta simu ilipotea kwa kutumia IMEI Number?
Nitag mkuu wakijibuWakuu ni kwa namna gani naweza kuitafuta simu ilipotea kwa kutumia IMEI Number?
Nitakutag mkuuNitag mkuu wakijibu
Licha ya kununua nyingine,nahitaji hiyo elimuacha kupoteza mda, jichange nunua ingine
nenda TCRA aisee, maana wao ndio mana mamlaka ayoLicha ya kununua nyingine,nahitaji hiyo elimu
Nipo huku Kolomije siwezi kufika daslamnenda TCRA aisee, maana wao ndio mana mamlaka ayo
Imei na Soka tena!!Kiungo wa Liverpool na England Adam Lallana, 30, atarejea kujiunga na klabu yake baada ya mapumziko ya mechi za kimataifa. (Times - subscription required)
Badala ya kupesti kule Makapuku Forum nimeleta huku..pombe hiziImei na Soka tena!!
sio chaiBadala ya kupesti kule Makapuku Forum nimeleta huku..pombe hizi
kalibu Anflid mzeeBadala ya kupesti kule Makapuku Forum nimeleta huku..pombe hizi
Basi haiwezekani kwa sababu zifuatazo.Nipo huku Kolomije siwezi kufika daslam
I second this, mamlaka husika ndio zinaweza kwa msaada wa mitandao ya simu, sisi watu wa kawaida hakuna njia ya kuweza kutrack imei.Basi haiwezekani kwa sababu zifuatazo.
1. Kutrack number utahitaji kuwa na connection ya simu husika kama kwa internet au gps.
Kutumia imei maana yake hautakuwa na connection na kifaa husika
isipokuwa mtandao wa simu ambayo laini imeewekwa kwenye simu unayotaka kutrack ndio inarecord imei number na mnara ambao simu inapokea signals.
2. TCRA na polisi wanatumia triangulation method yaani system ambayo imeunganishwa na hiyo mitandao yote, hii inafanya kazi kwa mtindo huu.
Kama simu imeibiwa kisha mwizi akatoa laini na kuweka laini nyingine basi laini itarejista kwenye mnara wa karibu kwa kutumia namba pamoja na imei.
Kisha imei namba na laini zitarekodiwa na mtandao wa simu.
Hivyo system ya polisi ama tcra inaconnect na ya mtandao husika, kwa hiyo ili upate imei za simu inabidi uwe na access na data za mitandao ya simu kisheria ww mtu wa kawaida huwezi kuwa nazo hivyo itabidi uwende polisi.
Njia nzuri ya ku-track device ni kuwa na apps kama mobile tracker ambazo zinaitaji muhusika awe anaacha data on.
ili kutrack na kufetch data vinginevyo ni ngumu mpaka uhusishe vyombo vya sheria kama polisi au TCRA.