Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Na kama puchu ingekuwa inatia mimba, wafuatao wangekuwa wana mimba zangu
Rihana
Wema
Lulu Michael
Beyonce
Masogange R.I.P
Shilole....nk..hao ni baadhi ya mastaa sasa wa huku kitaa ndio usiseme sijuli watoto ningewezaje kuwalea
Bado unampigia punyeto masogange?
 
Umenikumbusha chaliangu mmoko 2016 pale Arusha Sec.Chalii anaitwa Danny tulikua tunashindana tunachora mstari chini atakaerusha mbali au atakaewahi kumwaga ndo mshindi,Uyo chalii(Danny)alikua anatumia mfuko wa Rambo mweusi kama kilainishi,Babaako tulikua tunakiamsha ilikua mkimshinda anajitetea eti Porno yenyewe na asubuhi kaiona ndomaana tumemshinda..
Hahaha
 
Na kama puchu ingekuwa inatia mimba, wafuatao wangekuwa wana mimba zangu
Rihana
Wema
Lulu Michael
Beyonce
Masogange R.I.P
Shilole....nk..hao ni baadhi ya mastaa sasa wa huku kitaa ndio usiseme sijuli watoto ningewezaje kuwalea
Duuuuu sasa kiongozi hadi shilole
 
Ushauri wangu, tafuta mwanamke uoe... na ukae naye sehemu moja, ukikaa naye kufikia mwaka mmoja mfululizo, unaacha, usipoacha aseh ndo basi tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom