Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,560
- 188,749
Puli hahiachi mtu salama balehe hata baada ya balehe.Balehe inakusumbua ukikua utaacha
Puli hahiachi mtu salama balehe hata baada ya balehe.Balehe inakusumbua ukikua utaacha
sawaunapodoa wewe
ngumu sanaHili ni tatizo la kisaikolojia mkuu na lina athari kubwa ktk mfumo wa afya ya uzazi hasa kwako so unatakiwa ulitafutie ufumbuzi mapema....
Ila ushauri wangu wa kawaida tu ni kwanza kujaribu kujiweka mbali na vitu ambavyo vinaweza kuwa sababu ya ww kupata muhemko na kujikuta unashindwa kujizuia.
Na pili jitahidi kushindana kifikra na kivuli cha fikra zako coz uhakika ni kwamba hukuzaliwa na hali hiyo bali ulijifunza taratibu mpaka kuwa ivyo ulivyo leo, ni kweli hakuna kitu kigumu km kushindana na kivuli chako ila kwa hili nkushauri namna ulivyojifunza kuanza mchezo huo ndivyo unapaswa kujilazimisha kupunguza idadi ya tendo kwa siku na ipo siku utaacha kabisa.
kuicontrol ni simple lakiniPuli hahiachi mtu salama balehe hata baada ya balehe.
unafanyaje?kuicontrol ni simple lakini
Unafundishwa mbinu unaanza kuleta ubishi..basi endelea na starehe yako bwana..inasaidia nini?
vipi macho yakawasha gafla nitajikunaje?
think outside the box,itakuaje macho yakiniwasha gafla inamaana nianze kuamsha majirani waje wanikune au?Unafundishwa mbinu unaanza kuleta ubishi..basi endelea na starehe yako bwana..
Kata viganja vya mkono kwa kuwa ndicho kiunganishi muhimu cha kufanyia huo uhalifu!msaada wa kuondokana na tatizo
Vyanzo ni vingi,lakin nyeto nayo ni chanzo kikubwa!kwa iyo ata kikwete alipoenda kutibiwa tezi dume inaonekana alikuwa anapiga nyeto sana au?
acha ufala weweKata viganja vya mkono kwa kuwa ndicho kiunganishi muhimu cha kufanyia huo uhalifu!
Hili tatizo la utumiaji wa madawa ya kulevya au kucheza kamari, ugumu wa kuacha mambo hayo ndo upo kwny issue hii ya nyeto so km wanavyoweza kujizui na hatimaye kuacha kabisa ndivyo unapaswa uvae mfano huongumu sana
sipati usingizi kabisa
nataka nianze kula vidonge vya usingizi
Ondoa iyo fikra "haiwezekani" fikran mwako na hapo utakua taraatibu umeanza kushindana na nafsi yakongumu sana
sipati usingizi kabisa
nataka nianze kula vidonge vya usingizi
Fala kati ya wewe unayejichua na anayekupa ushauri ni nani?acha ufala wewe
Mkuu ata usiwaze we piga 2 mbna we unapga kdgo kuna wengne wanapga mara 5 kwa sku....sema kwa sasa we tafuta mbnu nyngne za puchu kama ile ya inzi kwenye mfukoWakuu siwezi kulala kabisa kama sijanyetuka/sijapiga puchu/punyeto
Pia siwezi kuamka bila kupiga puchu
Ukitaka usiku nikae usiku kucha bila kulala basi nizuie nisipige nyeto pia ukitaka asubuhi nilale mpaka udhani nimekufa nizuie nisipige nyeto
Nateseka sana.