Last KING Ontuzu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 587
- 783
Kuna ukweli katika msemo wa kwamba "Bora ukosee vyote ila usikosee kuoa au kuolewa. Mapenzi ni vita, Mapenzi mabaya
Wahenga wanasema hivyo na wanasistiza mapenzi yana run dunia.
Kuna jamaa namfahamu alifanyiziwa ushirikina na demu wake baada ya kuachana jogoo akawa hawiki kbs, na akapata nuksi nyingi mpk biashara zikafirisika.
Wahenga wanasema hivyo na wanasistiza mapenzi yana run dunia.
Kuna jamaa namfahamu alifanyiziwa ushirikina na demu wake baada ya kuachana jogoo akawa hawiki kbs, na akapata nuksi nyingi mpk biashara zikafirisika.