Jiraniyetu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 350
- 333
Salam zenu wakuu,
Naombeni tu nijuzwe maswali kadhaa tu yaliyoniacha njia panda
Nimejaribu kufatilia interview moja kutoka kwa millardAyo kuhusu pesa za tanzania zinavyotengenezwa,aliyekuwa anaeleza utendaji kazi wa B.O.T alieleza kuwa pesa huwa zinatengenezwa na B.O.T lakini B.O.T hakuna kiwanda cha kutengeneza pesa,
Kwa maana hiyo basi B.O.T hutoa tenda kwa makampuni makubwa ya nche ili itengenezewe pesa lakini vigezo vyote vya utengenezaji huo hutolewa na banki kuu ya Tanzania, Benki kuu ndiyo Taasisi kuu ya fedha Hapa Tanzania na Inafanya kazi na serikali..
Maswali yangu ni kwamba,
1: Kama benki kuu inaweza kutoa tenda kwa kampuni itengenezwe pesa sasa kuna haja gani ya serikali kuweka kodi kwa wananchi wanaotumia pesa ya Tanzania badala ya kufyatua zingine huko..
2: Je pesa ikizalishwa B.O.T inawezaje kufika kwa wananchi wa kawaida mbali na wafanyakazi wa serikali..
3: Je,pesa ni nani anayepanga thamani ya pesa kati ya nchi na nchi..
Ni hayo tu wadau,nahitaji nijue..
Karibuni!!..
Naombeni tu nijuzwe maswali kadhaa tu yaliyoniacha njia panda
Nimejaribu kufatilia interview moja kutoka kwa millardAyo kuhusu pesa za tanzania zinavyotengenezwa,aliyekuwa anaeleza utendaji kazi wa B.O.T alieleza kuwa pesa huwa zinatengenezwa na B.O.T lakini B.O.T hakuna kiwanda cha kutengeneza pesa,
Kwa maana hiyo basi B.O.T hutoa tenda kwa makampuni makubwa ya nche ili itengenezewe pesa lakini vigezo vyote vya utengenezaji huo hutolewa na banki kuu ya Tanzania, Benki kuu ndiyo Taasisi kuu ya fedha Hapa Tanzania na Inafanya kazi na serikali..
Maswali yangu ni kwamba,
1: Kama benki kuu inaweza kutoa tenda kwa kampuni itengenezwe pesa sasa kuna haja gani ya serikali kuweka kodi kwa wananchi wanaotumia pesa ya Tanzania badala ya kufyatua zingine huko..
2: Je pesa ikizalishwa B.O.T inawezaje kufika kwa wananchi wa kawaida mbali na wafanyakazi wa serikali..
3: Je,pesa ni nani anayepanga thamani ya pesa kati ya nchi na nchi..
Ni hayo tu wadau,nahitaji nijue..
Karibuni!!..