Jinsi Elimu ya SUA ilivypoteza dira kwenye labour market, TCU imulikeni kwa macho mawili

Si siri anachuki binafsi na wahitimu wa SUA.Elimu ya SUA si yakubahatisha ukitoka pale unakuwa vizuri sana na uwezo mkubwa wa kufikiri ndiyo maana interview nyingi vijana wa SUA wanafaulu zaidi kuliko vyuo vingine
 
Wewe mtoa mada una chuki binafsi na vijana wa SUA. Kama wewe ni mwanaume ninakushauri uache wivu wa kike umesikia??
 
Mkuu unaposema wenye division four na three chafu wanaenda SUA una maanisha nini?? Naomba majibu tafadhali!!
SUA.ni chuo kikuu kilichoanza kuwa jipu tangu 2994.tulipoanza hapo na kumaliza bila kuajiriwa na serikali mwisho tukaingia wizara ya elimu na kuanza kuamba kazi ya ualimu .Sua inahitaji wajipange.sio chiuo salama kwa maisha salama
 
Mtoa mada nadhani ungeomba ueleweshwe na sio kutoa hoja zisizo na mashiko.
 
SUA.ni chuo kikuu kilichoanza kuwa jipu tangu 2994. tulipoanza hapo na kumaliza bila kuajiriwa na serikali mwisho tukaingia wizara ya elimu na kuanza kuamba kazi ya ualimu .Sua inahitaji wajipange.sio chiuo salama kwa maisha salama
Tatizo ni SUA au sera za serikali yako?
 
Bahati mbaya sijui ni nzuri, pamoja na yote uliyoorodhesha bado hawajawafikia wenzao wa chuo kikubwa (UDOM). Kule w/funzi wanaweza kukataa 'coursework' ikiwa ndogo, wakamjengea zengwe ticha, anachomolewa na kozi ikarudiwa tena mwaka ujao:D:D

[Coming from a friend who's a recent graduate]

CBE- Umeingiza nyavuni pepa 4, ukifika wakati wa kuclear unaongea kikubwa kwa mkuu wa idara unamuambia za kukuchomolea zilizobaki unakuja kumalizana nazo mwenyewe.:mad:

[Coming from a friend, not a recent graduate]

Kiukweli mtaani kuna 'garbage' nyingi kuliko wasomi
 
Alafu graduate wa sua kufanya kazi bank ni kosa la SUA kweli? Sua kazi yao ni kufundisha na sio kumpangia wapi graduate akafanye kazi!!

Nnachoona hapa ni kwamba una chuki binafsi na sua, na kuna uwezekano MLIENDA KWENYE INTERVIEW YA KAZI NA KIJANA WA SUA AKAWAGARAGAZA!!

Alafu hujui agribusiness wanasoma uchumi na finance? Sasa kwann washindwe kufanya kazi bank??

Kama kichwan wewe ni kilaza basi jua vijana wa sua watakupelekesha sana!!
Good. Pia kuna baadhi hawaelewi. Benki zina vitengo vingi,mojawapo ni kile cha mikopo kwa wajasiriamali. Ujasiriamali uko wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na kilimo na ufugaji. Kilimo na ufugaji ndo relevance mojawapo ya kozi za SUA. Hivyo, si ajabu products za SUA kukaa benki kukaongeza ufanisi wa investments za mikopo inayochukuliwa.
 
Kwa mtazamo wangu,
1. Mtoa mada ana uelewa mdogo sana wa mambo ya elimu ya juu (hata kama yeye amefika elimu hiyo).
2. Mtoa mada haifahamu SUA.
 
elimu ya bongo iku fungue macho uji ajiri
kusibiria kazi zama hizi uta kufa kwa stress
 
Mtoa mada hebu toa logical argumentation. MTU kuwa teller yaweza kuwa pia uamuzi wake. Unless unataka kusema kuwa alitumwa na SUA. Grow bana. SUA bado ni chuo makini mno.
 
Habari wakuu.

Labda niende straight:

Katika vyuo jipu nchini kimojawapo ni SUA.

Kinatoa kozi ambazo kiuhalisia kwenye labor market ufanisi wake ni mdogo sana, Mitaala na Programmes za SUA kwa ujumla zinachangia kuongeza idadi ya majobless nchini kwa kutoa taaluma zisizoendana na mazingira yetu.

Mitaala na programmes za SUA ni copy & paste kutoka nchi za mashariki ya kati, ambapo haziendani na mazimgira halisi ya kitanzania na Africa.

Nina jamaa zangu wengi waliomalizia SUA kozi za kilimo kama Agribusiness, misitu, sayansi ya nzige, Usimamizi wa Asali etc sahivi ni mabank tellers kwa malipo ya kusikitisha hadi laki 2 , hii imepelekea hadi graduates wa SUA kupewa jina la "Cheap labors" na hii imekuwa common wajiri wengi wakitaka kuajiri mtu wa kumyonya huvuta vijana wa SUA, sasa hawana added skills.

Heslb wanatumia mabilion ya fedha kutoa mikopo kwenye vyuo ambavyo havipo relevant na uhalsia wa nje.

Vijana wengi wa PCB/PCM/CBG ambao walikuwa ndoto ya kusoma udaktari na uengeneer, wanapofeli Form 6 na kupata division 3 chafu na div 4 wote hukimbilia SUA, hivyo husomea vitu ambavyo hawakuwah kuwaza kuvisoma.

Hongera kwa UDSM, Mzumbe na Mhimbiri kwa kuendelea kutoa elimu inayongeza ufanisi kwenye jamii, SUA wanatakiwa wajifunze kutoka kwenu.
Umeandika usichokijua. Utazungumziaje mitaala ambayo hujawahi ichungulia? Hakuna chuo bora kama Chuo Kikuu.cha Sokoine cha Kilimo [SUA]. Tatizo ni nyingi ya kozi ni za kuishi vijijini na maporini, vijana hawataki maisha hayo!

Bazazi
 
SUA.ni chuo kikuu kilichoanza kuwa jipu tangu 2994.tulipoanza hapo na kumaliza bila kuajiriwa na serikali mwisho tukaingia wizara ya elimu na kuanza kuamba kazi ya ualimu .Sua inahitaji wajipange.sio chiuo salama kwa maisha salama
Mbona huo mwaka bado hatujafika mkuu...
 
Habari wakuu.

Labda niende straight:

Katika vyuo jipu nchini kimojawapo ni SUA.

Kinatoa kozi ambazo kiuhalisia kwenye labor market ufanisi wake ni mdogo sana, Mitaala na Programmes za SUA kwa ujumla zinachangia kuongeza idadi ya majobless nchini kwa kutoa taaluma zisizoendana na mazingira yetu.

Mitaala na programmes za SUA ni copy & paste kutoka nchi za mashariki ya kati, ambapo haziendani na mazimgira halisi ya kitanzania na Africa.

Nina jamaa zangu wengi waliomalizia SUA kozi za kilimo kama Agribusiness, misitu, sayansi ya nzige, Usimamizi wa Asali etc sahivi ni mabank tellers kwa malipo ya kusikitisha hadi laki 2 , hii imepelekea hadi graduates wa SUA kupewa jina la "Cheap labors" na hii imekuwa common wajiri wengi wakitaka kuajiri mtu wa kumyonya huvuta vijana wa SUA, sasa hawana added skills.

Heslb wanatumia mabilion ya fedha kutoa mikopo kwenye vyuo ambavyo havipo relevant na uhalsia wa nje.

Vijana wengi wa PCB/PCM/CBG ambao walikuwa ndoto ya kusoma udaktari na uengeneer, wanapofeli Form 6 na kupata division 3 chafu na div 4 wote hukimbilia SUA, hivyo husomea vitu ambavyo hawakuwah kuwaza kuvisoma.

Hongera kwa UDSM, Mzumbe na Mhimbiri kwa kuendelea kutoa elimu inayongeza ufanisi kwenye jamii, SUA wanatakiwa wajifunze kutoka kwenu.
Wewe utakuwa kati ya viazi ambao wameshindwa kuajirika Kwani Kila ukienda interview unanyukwa na vijana wa SUA! Hiki chuo hata kama hukipendi ndio chuo cha pili kwa ubora Tanzania! Mengine uliyosema kuhusu vyuo bora SUA haina cha kujifunza huko! Ni chuo bora Kabisa kinachojitosheleza na kutoa wahitimu walioteka soko la ajira
 
Habari wakuu.

Labda niende straight:

Katika vyuo jipu nchini kimojawapo ni SUA.

Kinatoa kozi ambazo kiuhalisia kwenye labor market ufanisi wake ni mdogo sana, Mitaala na Programmes za SUA kwa ujumla zinachangia kuongeza idadi ya majobless nchini kwa kutoa taaluma zisizoendana na mazingira yetu.

Mitaala na programmes za SUA ni copy & paste kutoka nchi za mashariki ya kati, ambapo haziendani na mazimgira halisi ya kitanzania na Africa.

Nina jamaa zangu wengi waliomalizia SUA kozi za kilimo kama Agribusiness, misitu, sayansi ya nzige, Usimamizi wa Asali etc sahivi ni mabank tellers kwa malipo ya kusikitisha hadi laki 2 , hii imepelekea hadi graduates wa SUA kupewa jina la "Cheap labors" na hii imekuwa common wajiri wengi wakitaka kuajiri mtu wa kumyonya huvuta vijana wa SUA, sasa hawana added skills.

Heslb wanatumia mabilion ya fedha kutoa mikopo kwenye vyuo ambavyo havipo relevant na uhalsia wa nje.

Vijana wengi wa PCB/PCM/CBG ambao walikuwa ndoto ya kusoma udaktari na uengeneer, wanapofeli Form 6 na kupata division 3 chafu na div 4 wote hukimbilia SUA, hivyo husomea vitu ambavyo hawakuwah kuwaza kuvisoma.

Hongera kwa UDSM, Mzumbe na Mhimbiri kwa kuendelea kutoa elimu inayongeza ufanisi kwenye jamii, SUA wanatakiwa wajifunze kutoka kwenu.

Unacho kisema una uhakika nacho? maana mimi ni mmoja wa waliosoma SUA-Uhandisi Kilimo,ulichokisema hakina uhalisia.
 
SUA.ni chuo kikuu kilichoanza kuwa jipu tangu 2994.tulipoanza hapo na kumaliza bila kuajiriwa na serikali mwisho tukaingia wizara ya elimu na kuanza kuamba kazi ya ualimu .Sua inahitaji wajipange.sio chiuo salama kwa maisha salama
Naona hata kuandika mwaka hujui! Kwa akili hii unawezaje kuwanyooshea kidole watu wa SUA?
 
Back
Top Bottom