kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,648
- 3,003
Huyo waziri na katibu mkuu wa wizara waliokata utepe kufungua ofisi za matapeli Hawa wawekwe kundi gani ??Kila kitu serikali serikali..pumbaf
Tumezidi kuwa wajinga..na dunia ya leo ukiwa mjinga wewe ni mtaji kwa watu.
Mtu ni mwalimu mwenye degree,lakini bado anadandia project fake za kitapeli bila hata kushtuka..hapo na serikali ni ya kuiita jameni?
Na mahakamani hapo kesi kimsingi hamna kwa uelewa wangu mdogo wa sheria..labda mambo yafanyike kibabe maana hawa watu wanachukua hela za watu kirahisi sana