Hilo nalo neno, nilishawahi kuikuta sehemu hiyo, boss alikuwa anawarubuni macounter kutoka bar zingine alikuwa anapoint zile pisi kali anawaahidi mishahara mikubwa, mwisho wa siku anawachezea michezo kama hiyo ya kitapeli halafu anakimbilia kwenye kuwakata mishahara, yaani kila counter aliepitia kwenye bar yake lazima apate loss, mwisho wa siku akawekewa mtego akadakwa ila alifanikiwa kutoroka na ile bar majengo alikuwa kakodi tu.Huyo bar maid kafanyiwa mchezo tu na huyo huyo boss wake huo ni utumwa anamslibisha bila sababu kamzunguka tu hakuna chochote hapo