monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,486
- 13,017
Habar za muda huu ndugu zangu Watanzania mliopo sehemu tofautitofauti Duniani kote,lengo la uzi huu ni kupeana elimu ya masuala ya siasa na kinachoendelea hapa kwetu Bongo kwenye ulingo wa siasa
Mwanzoni ccm walianza kukihujumu chama cha Demokrasi na Maendeleo pamoja na Cuf ya Maalim Seif,hapa wabunge na madiwani walinunuliwa kwa vitita vikubwa vya fedha taslim pamoja na kulipiwa madeni yao sambamba na kurejeshewa ubunge wao au udiwani wao kwa nguvu za polisi,mahakama na tume mbovu ya uchaguzi
Pia,vyama tajwa hapo juu vilihujumiwa kwa viongozi wake kutengenezewa mashtaka hewa kama ilivyokuwa kwa akina Mbowe na wenzake
TUTAZAME NAMNA CCM WANAVYOHUJUMU CHADEMA
Hapa mchezo upo hivi,baada ya mbinu ya kuiua CHADEMA kwa kuwafungulia viongozi wake mashtaka hewa,kununua madiwani na wabunge kugonga mwamba sasa hii ndyo mbinu ya mwisho ya ccm ya kuiua CHADEMA kwa kutumia vyama vingine vya upinzani
JINSI MCHEZO ULIVYO;hapa viongozi wa CHADEMA wananunuliwa na wanaenda kujiunga na Cuf ya Lipumba au NCCR-MAGEUZI ya Mbatia (hivi vyama ni matawi ya ccm kwa hivi sasa kutokana na makubaliano waliyoyaingia akina Mbatia na Lipumba kwa CCM)
Baadae kitakachotokea Chadema watabanwa na kuporwa ushindi wakati wabunge na madiwani wachache kutoka Cuf na nccr-mageuzi wakipewa ushindi wa mezani.Lengo la kufanya hivi ni kwamba Jumuia za kimataifa zitakapohoji "kwanini uchaguzi haukuwa huru na haki na mbona vyama vingine vimeporwa ushindi?" wabunge na madiwani wa Cuf na nccr-mageuzi wao ndyo watakaokuja front na kusema "uchaguzi ulikuwa huru na haki mbona sisi ni wapinzani na tulishinda kwa haki na tulipewa ushindi"
Kwa kifupi ni kwamba patakuwepo na mnyukano kati ya Chadema na Cuf kwa kushirikiana na Nccr-mageuzi ya Mbatia na hapo ndipo ccm watakapo pita katikati ya vyama vyote na kujipatia ushindi wa dhuluma
Baada ya ccm kupata ushindi wa mezani kwa kuihujumu Chadema kitakachofuatia ni Ccm kuanza kuvihujumu vyama hivi viwili kwa maana ya Cuf na Nccr-mageuzi mageuzi kwa utaratibu uleule uliotumika kuihujumu Chadema
WITO WANGU KWA WATANZANIA WOTE;ndugu zangu ccm mpaka hivi sasa siyo chama cha wakulima na wafanyakazi tena bali ni chama cha wanyang'aji,wafiraji,mashoga,majambazi,walevi,wauza madawa ya kulevya na chama cha wauaji
Sote tunapaswa kuungana na kuhakikisha kuwa tunasimama na Chadema kama chama cha ukombozi tukikubali Chadema ikafa tutakosa chama cha kutusemea na hapo ndipo tutakaposhida mara maelfu ya shida tunazozipata kwa hivi sasa
Asanteni sana!
Mwanzoni ccm walianza kukihujumu chama cha Demokrasi na Maendeleo pamoja na Cuf ya Maalim Seif,hapa wabunge na madiwani walinunuliwa kwa vitita vikubwa vya fedha taslim pamoja na kulipiwa madeni yao sambamba na kurejeshewa ubunge wao au udiwani wao kwa nguvu za polisi,mahakama na tume mbovu ya uchaguzi
Pia,vyama tajwa hapo juu vilihujumiwa kwa viongozi wake kutengenezewa mashtaka hewa kama ilivyokuwa kwa akina Mbowe na wenzake
TUTAZAME NAMNA CCM WANAVYOHUJUMU CHADEMA
Hapa mchezo upo hivi,baada ya mbinu ya kuiua CHADEMA kwa kuwafungulia viongozi wake mashtaka hewa,kununua madiwani na wabunge kugonga mwamba sasa hii ndyo mbinu ya mwisho ya ccm ya kuiua CHADEMA kwa kutumia vyama vingine vya upinzani
JINSI MCHEZO ULIVYO;hapa viongozi wa CHADEMA wananunuliwa na wanaenda kujiunga na Cuf ya Lipumba au NCCR-MAGEUZI ya Mbatia (hivi vyama ni matawi ya ccm kwa hivi sasa kutokana na makubaliano waliyoyaingia akina Mbatia na Lipumba kwa CCM)
Baadae kitakachotokea Chadema watabanwa na kuporwa ushindi wakati wabunge na madiwani wachache kutoka Cuf na nccr-mageuzi wakipewa ushindi wa mezani.Lengo la kufanya hivi ni kwamba Jumuia za kimataifa zitakapohoji "kwanini uchaguzi haukuwa huru na haki na mbona vyama vingine vimeporwa ushindi?" wabunge na madiwani wa Cuf na nccr-mageuzi wao ndyo watakaokuja front na kusema "uchaguzi ulikuwa huru na haki mbona sisi ni wapinzani na tulishinda kwa haki na tulipewa ushindi"
Kwa kifupi ni kwamba patakuwepo na mnyukano kati ya Chadema na Cuf kwa kushirikiana na Nccr-mageuzi ya Mbatia na hapo ndipo ccm watakapo pita katikati ya vyama vyote na kujipatia ushindi wa dhuluma
Baada ya ccm kupata ushindi wa mezani kwa kuihujumu Chadema kitakachofuatia ni Ccm kuanza kuvihujumu vyama hivi viwili kwa maana ya Cuf na Nccr-mageuzi mageuzi kwa utaratibu uleule uliotumika kuihujumu Chadema
WITO WANGU KWA WATANZANIA WOTE;ndugu zangu ccm mpaka hivi sasa siyo chama cha wakulima na wafanyakazi tena bali ni chama cha wanyang'aji,wafiraji,mashoga,majambazi,walevi,wauza madawa ya kulevya na chama cha wauaji
Sote tunapaswa kuungana na kuhakikisha kuwa tunasimama na Chadema kama chama cha ukombozi tukikubali Chadema ikafa tutakosa chama cha kutusemea na hapo ndipo tutakaposhida mara maelfu ya shida tunazozipata kwa hivi sasa
Asanteni sana!