Faida zipo katika category nyingi, ila kwa kukusaidia blog ikiwa na wateja wengi wanaoitembelea inavutia makampuni kuweka matangazo na matangazo ni pesa. Kuna faida pia kwamba blogger anakua maarufu na ataweza kutumika kwenye shughuli nyngi za kujenga nchi na hvo kujiingizia kipato.
Blogger anazo faida nyingi za kielimu, kwenda na wakati na ubunifu wake kukua (kwa serious bloggerz)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.