INSIDER MAN Leo ungetupa episode 3 Jan ulitupa Moja tu ratiba ingeenda vizuri kam tulivopanga
Unajiskia kweli au basi, maana nikiendelea wasije kusema nimesaidia kuwatangazia azam biashara yao burudani kwa wote, au Kilimanjaro lager kiburudisho cha taifaroho nzuri wakati anawachanga kama karata,
mnaongea tu kwa vile ni simulizi
Nimekuelewa Budah..unatisha Baharia.Mkuu kama tulianza pamoja nilisema story itabase kwa watu waliokuwa na impact kwangu, sijataka kugusia maisha yangu binafsi.
Kwa upande wa marafiki wa chuo nilikuwa nao wachache sana kama Aggy nilimwongelea, na pia kuna mmoja nitamgusia mbele kidogo. Hawa ndo walikuwa partners wangu, marafiki zangu wengi walikuwa niliosoma nao Advance na olevel ila hawa wa chuo wengi ni wanafiki tu.
Tyna - Tumekua naye japo alikuwa ni rafiki wa dada yangu.
Aggy- Tumesoma wote Olevel mpaka chuo
Dav- Huyu tumepiga wote Advance mpaka chuo alikuwa anasoma Finance utamkuta mbele.
Sijataka kuweka maisha yangu binafsi kwenye hii story ila marafiki ninao napia wa Taasisi X kuna moja nilimgusia alikwenda Europe kusoma kwasasa yuko Canada.
Kwa upande wa chuo hakunaga rafiki na mimi nilikuwa mtu wa mambo yangu. Pia nina zile sifa za “ANTI-SOCIAL.”
Anasema hapendagi kujibizana!Kabisa yaan nimeboreka na kitendo cha prisca kupokea simu na kung'ang'ania waende wote.. kama upole hii ni too much
Kabisa"Na muda huu nilisema nimpigie simu Iryn ili nimuulize tunaonana muda gani kwaajili ya mazungumzo. So baada ya kumpigia simu Iryn alisema kwa leo haitawezekana maana yuko busy hivyo tufanye kesho, na mimi nilimwambia kwa kesho itakuwa ngumu nina ratiba zangu muhim hivyo tuonane jumatano."
Na mimi nilimwambia kwa kesho itakua ngumu nina ratiba zangu muhimu hivyo tuonane jumatano......safi sana hapa Iryn naona kabisa mwili ulipata ganzi kwa muda, ukitoa uanamke wake hata kama ni boss hapaswi kunyenyekewa kupitiliza hili aelewe, TIT FOR TAT
asanteee! SanaKaribu