manndungu
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 496
- 473
Ungewataja kabisa , kina juma lukole na kina mwijaku, radio one wala free Africa na baadhi ya radio hazina hiyo mambo, clouds na wasafi ndio hiyo tabia imekithiriHabari wa ndugu?
Binafsi nmekua nikifatilia na kushangaa baadhi ya media kuruhusu na kuajiri aina ya watangazaji wa kiume ambao kimwonekano katika jamii hauendani na real african man.
Jambo lenyewe ni jinsi baadhi ya wanaume kujihusisha katika vipindi vya umbea na kuchambana, hii inanipa shida sana mana unakuta mwanaume katikati ya wanawake akifanya uchambaji katika media huku akionesha viashiria vya tabia za ushoga ilhali jamii imekaa kimya na serikali pia
My take:
Hata ukifatilia historia ya Marekani na Ulaya, swala hili la ushoga na ndoa za jinsia moja halikuanza ghafla,mwanzoni ilikua n jambo lisilofaa na lilipingwa na kila mtu ila kupitia media ziliendelezwa propaganda na kufanya jambo hilo lionekane kuwa la kawaida sana kwa sasa,so kwa Tz yetu serikali na wadau wengine wasipopiga vitendo hivi vinavyoendelea kwa sasa itafikia wakati jamii itaona jambo la ushoga n kawaida na kuwapatia watu hawa haki ya kufanya chochote kama tunavyoona kweny mataifa mengine!.