Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Rushwa ni tatizo tena tatizo kubwa.
Rushwa tunaikuza na kuifanya itamalaki wenyewe kwa udhaifu wa sheria zetu. Sheria haiwezi kusema kuwa anayepokea ama kutoa rushwa wana makosa,swali la kujiuliza,nani atamripoti mwenzie kuhusu rushwa? Jibu,ni hakuna. Sheria lazima imuonee mmojawapo na kumpa haki mmoja wapo kwa mujibu wa mazingira ya mtoa ama mpokea rushwa.
Pendekezo: ili kuondoa rushwa,lazima mtumishi wa umma aonewe na sheria. Kufanya hivyo kunampa mtoa rushwa haki ya kuripoti mbele ya mamlaka husika. Kwa sababu gani,mosi,mtoa rushwa atweza kuripoti kwenye mamlaka husika bila hofu ya kutiwa hatiani,pili,mara nyingi wanaotoa rushwa ni watu wasiowatumishi wa serikali kwa mfano askari wa barabarani wanavyopokea rushwa kutoka kwa madereva nk.
Kufanya hivyo kutamfanya mtoa rushwa kutoa taarifa. Kwa nini,kwa sababu,hakuna mtu anayependa kutoa rushwa ila wakati mwingine tunalazimishwa ili kuhalalisha uovu na/au kupata huduma. Na itakapoinika kapokea rushwa adhabu kali itolewe dhidi ya mpokea rushwa.
Angalizo: mazingira ya kutoa na kupokea rushwa yaangaliwe kati ya mtoa rushwa na mpokea rushwa.
Rushwa tunaikuza na kuifanya itamalaki wenyewe kwa udhaifu wa sheria zetu. Sheria haiwezi kusema kuwa anayepokea ama kutoa rushwa wana makosa,swali la kujiuliza,nani atamripoti mwenzie kuhusu rushwa? Jibu,ni hakuna. Sheria lazima imuonee mmojawapo na kumpa haki mmoja wapo kwa mujibu wa mazingira ya mtoa ama mpokea rushwa.
Pendekezo: ili kuondoa rushwa,lazima mtumishi wa umma aonewe na sheria. Kufanya hivyo kunampa mtoa rushwa haki ya kuripoti mbele ya mamlaka husika. Kwa sababu gani,mosi,mtoa rushwa atweza kuripoti kwenye mamlaka husika bila hofu ya kutiwa hatiani,pili,mara nyingi wanaotoa rushwa ni watu wasiowatumishi wa serikali kwa mfano askari wa barabarani wanavyopokea rushwa kutoka kwa madereva nk.
Kufanya hivyo kutamfanya mtoa rushwa kutoa taarifa. Kwa nini,kwa sababu,hakuna mtu anayependa kutoa rushwa ila wakati mwingine tunalazimishwa ili kuhalalisha uovu na/au kupata huduma. Na itakapoinika kapokea rushwa adhabu kali itolewe dhidi ya mpokea rushwa.
Angalizo: mazingira ya kutoa na kupokea rushwa yaangaliwe kati ya mtoa rushwa na mpokea rushwa.