Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,441
- 4,093
inategemea pia na influence ya ndugu.wanawake huwa mnafanya juu chini kuwin mioyo ya watoto.kama juzi ummy mwalimu kwenye siku ya wanawake kasema " kati ya baba nani atangulie kufa? " watoto wakasema baba just imagineHata ukitoa pesa mbele yao as long as una mistreat mama yao basi hao watoto watakuwa close na mama yao na ndugu zake