Wilson Gamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 777
- 749
Ukweli asilima 100True...ukweli mtupu mtoa mada, wanaume wengi tunakufa kwa sababu ya maumivu na msongo wa mawazo.
Ukweli asilima 100True...ukweli mtupu mtoa mada, wanaume wengi tunakufa kwa sababu ya maumivu na msongo wa mawazo.
vipi mzee
Mbona kama umepanic
Ungejuaaa hahahKupanic kwasababu ya hizi hekaya za JF.
Nimejaribu tu kukupa somo fulani maana inaonekana ni mmoja ya wale waliokariri elimu feki ya haki sawa kutoka Beijing..
tupe mfano hata mmoja mzee tujifunze kituTangu nimekuwa baba wa watoto na ninayokutana nayo kwa mama zao namheshimu Sana baba yangu hata Kama alishafariki.!!
Huwezi kutambua hili Kama hujawa na familia.
Wanaume tunahangaika Sana kwa interest za familia(mke na watoto wake) kumbe pembeni wanakuona mzushi tu.
Watoto wamejazwa ujinga na mama yao!!
Ni wanawake wachache Sana wanaoelewa lile analolifanya mumewe.!!
Sent using Jamii Forums mobile app
stay single as long as you can.upo kwenye ndoa kwa muda gani?Vijana wa kiume inabidi tuwaheshimu sana baba zetu, maana nimejifunza mengi sana kutoka kwa wazee kadhaa. Mimi ni mkristo ila kwa kweli lazima niwe na wake hata watatu au zaidi. Mana mke niliyenaye siku hizi anaongea kama radio mpaka huwa naamua kukaa kimya au kusepa narudi nimelewa. Nikiangalia umri wangu najikuta kwanza nimewahi kuoa
siangalii changamoto.naangalia happy life.mwanamke nimtolee mahari,nimuhudumie, nisaidie wazazi wake, nisaidie mashemeji wake,nimpende,nimjali,nimpe muda wangu.then mimi napata faida gani?? just pussy? pussy yenyewe mwanamke hakupi kila siku mara amechoka,mara hajisikii,ila mimi natakiwa kumuhudumia kila siku bila kuchoka.hiyo biashara kichaa huwa sifanyi.hapo bado hajakukera bado hajakuudhi,bado hajakugombanisha na ndugu zako,bado hajakuletea mtoto wa nje. mimi nazalisha tu kuolewa akaolewe kwingine.nimeshazalisha watatu mwaka huu nazalisha mwingine.bata tu no stress
Vijana wa kiume inabidi tuwaheshimu sana baba zetu, maana nimejifunza mengi sana kutoka kwa wazee kadhaa. Mimi ni mkristo ila kwa kweli lazima niwe na wake hata watatu au zaidi. Mana mke niliyenaye siku hizi anaongea kama radio mpaka huwa naamua kukaa kimya au kusepa narudi nimelewa. Nikiangalia umri wangu najikuta kwanza nimewahi kuoa
Mkuu familia matumizi yakikosekana watoto wanaambiwa baba yenu hajaleta hela. Hivyo wanakuchukia baba.tupe mfano hata mmoja mzee tujifunze kitu
fainali uzeeni kivipi?Kwa sasa wakati wa ujana no stress ila fainali uzeeni.
hapo inabidi uanze kutoa hela mbele ya watotoMkuu familia matumizi yakikosekana watoto wanaambiwa baba yenu hajaleta hela. Hivyo wanakuchukia baba.
Kila kitu kikiwepo watoto wanaambiwa mama ndio amewanunulia.!!
Watoto wanakujua baba kwa mabaya lakini mazuri yote ya mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujana huwa tunapanda ila uzeeni tunavuna sasa ukipanda mbegu mbaya utavuna ubaya uzeeni.fainali uzeeni kivipi?
Hata ukitoa pesa mbele yao as long as una mistreat mama yao basi hao watoto watakuwa close na mama yao na ndugu zakehapo inabidi uanze kutoa hela mbele ya watoto
Tangu nimekuwa baba wa watoto na ninayokutana nayo kwa mama zao namheshimu Sana baba yangu hata Kama alishafariki.!!
Huwezi kutambua hili Kama hujawa na familia.
Wanaume tunahangaika Sana kwa interest za familia(mke na watoto wake) kumbe pembeni wanakuona mzushi tu.
Watoto wamejazwa ujinga na mama yao!!
Ni wanawake wachache Sana wanaoelewa lile analolifanya mumewe.!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Anzisha uzi mwingine kuwaelezea wanaumeUmeonyesha kana kwamba wanaume ni malaika...hawana usemi wala mawaa...yote wanasingiziwa...
Unatuaminisha wanawake wengi ni crazy?.!
Mnafeli wapi jmn!