mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,969
- 6,460
Wakuu nawasalimu,
Kwakweli usiku umekuwa mgumu sana kwangu, jino, Wataalamu wa meno bado niliowaona bado hawana majibu zaidi ya kuling'oa,
Ina maana dactari wa meno wanasomea kung'oa tu meno na siyo kutibu? Kwa kifupi tuseme wadudu wa meno ni kati ya magonjwa sugu duniani sawa na HIV, n.k?
Kwakweli usiku umekuwa mgumu sana kwangu, jino, Wataalamu wa meno bado niliowaona bado hawana majibu zaidi ya kuling'oa,
Ina maana dactari wa meno wanasomea kung'oa tu meno na siyo kutibu? Kwa kifupi tuseme wadudu wa meno ni kati ya magonjwa sugu duniani sawa na HIV, n.k?