Ni mesikia jini mahaba lanaweza kumwingia mtu bila kuwa kama ametumiwa na mtu kama
tunavyo sikia,flani karushiwa jini.Na pia hilo jini huwa linafanya mapenzi na liliyo mwingia.
Je kama linafanya mapenzi linafanyaje?Na lipo la liume na kike?
hiyo bendera hapo hata hamu ya kuchaingia inaisha
hiyo bendera hapo hata hamu ya kuchaingia inaisha
Hizo ni imani. Hakuna jini mahaba wala nini! Kama we ni kicheche usisingizie jini.
Wakuu hivi jini mahaba ni nini na ni ukweli kama inavyo zungumiziwa?
hiyo bendera hapo hata hamu ya kuchaingia inaisha