kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,319
- 4,089
- Thread starter
- #41
Mwanzo nilimchukulia poa lkn matendo na kauli zake vilijaza matumaini moyoni kwangu na kuamini yeye ndiye. Alifanya mema mengi na ali-risk vitu vingi kwa ajili yangu nikajua kuwa huyo ndiye nimepewa na mwenyez Mungu.mm ni kijana mkaidi na mgomvi kwa wasichana lkn akanifanya niwe mvulana mwenye kupenda,kuwa mwaminifu na kujali..mkuu Kanali...nasema hivyo maana mapenzi ambayo yanakupa ugonjwa na kugombana na ndugu sio penzi ni sumu ya kujimaliza mwenyewe
Love where u r loved its simple as ABCD...ukikuta tofauti na hivyo huku ukijua fika mpenzi wako ni msaliti na bado unajitia kipofu basi ipo shinda Mkuu
Sikujua kama angebadilika mkuu