Jingle za christmass & new year zinanirudishia maumivu niliyoyapata mwishoni mwa mwaka jana

mkuu Kanali...nasema hivyo maana mapenzi ambayo yanakupa ugonjwa na kugombana na ndugu sio penzi ni sumu ya kujimaliza mwenyewe
Love where u r loved its simple as ABCD...ukikuta tofauti na hivyo huku ukijua fika mpenzi wako ni msaliti na bado unajitia kipofu basi ipo shinda Mkuu
Mwanzo nilimchukulia poa lkn matendo na kauli zake vilijaza matumaini moyoni kwangu na kuamini yeye ndiye. Alifanya mema mengi na ali-risk vitu vingi kwa ajili yangu nikajua kuwa huyo ndiye nimepewa na mwenyez Mungu.mm ni kijana mkaidi na mgomvi kwa wasichana lkn akanifanya niwe mvulana mwenye kupenda,kuwa mwaminifu na kujali..

Sikujua kama angebadilika mkuu
 
Mwaka jana mwez wa 12 mara baada tu ya mahafal yangu, nilianza kuona mabadiliko hasi kwa mpenz wangu ambayo yalianza kutishia uhai wa mahusiano yangu ambayo kwa hakika niliwekeza akili,mwili,future,rasilimali na muda wangu ktk kuyajenga. Mpenz wangu taratib alianza kubadilika japo kwa taratib sana ila nikastukia kwa sababu nilimzoea na kumjua kuanzia utosi hadi ukucha.
Baada ya kuona hayo nikajipanga kumfuata huko morogoro kwa nia ya kukaa nae karibu na kudadisi kiini cha jinamizi aliyenyemelea mahusiano yangu.mwitikio wake juu ya kumfata pia ulinitia shaka kwa sabab hakuonyesha shauku kama ilivyokuwa mwanzo. Cku moja kabla ya christmass nilienda tukawa wote na alinipa tunda vizur kwa siku ya kwanza na ya pili kisha siku 3 zilizofuata akabana kwa kuanzisha maada ya kwamba tusitishe mpka tuoane.katika hicho kipind chote tulijifungia hostel kwa sabab aligoma kwenda lodge kwani chuo kilifungwa na wanafunz wengi hawakuwepo.kwa siku tano tulijifungia tukiskiliza jingles xmass & new year na nyimbo za kikatoliki zenye jumbe za christmass. Pamoja na kubaniwa tunda cku tatu mfululizo lkn nilifurah sana kipind kile kwa kukaa nae kwani nilimpenda sana.mara baada tu ya kuondoka akaanza kubadilka tena. Ndani ya week moja alibadilka kwa kias kikubwa na hapo ndipo moyo ukaanza kuniuma na maradhi yakaanzia hapo.
.alinikatia cm
.aliongea kwa ukali
.alikuwa hana muda na mm
.kauli za kejeli na dharau ndiyo ikawa mvua iliyoninyeshea kila siku
Ucku wa mwaka mpya nilimpigia cm na kumbembeleza akakiri na kusema tuache ya mwaka jana tuanze upya. Kesho yake hali iliendelea vile na mpka aliporud chuo ndipo akazidi.alikuwa ananiaga kwny cm kuwa anaenda kudiscuss lkn nikimtxt na kumcall hajib mpka kesho yake. Nilimdodosa rafk yake ambaye alifunguka mambo mengi kuhusu kuchelewa kwake kurud, kuongozana na wanaume tofauti na mambo mengine mabaya ambayo yalinifnya nifunge safari kumfata chuo na kwa hakika niliyaona na mengine niliyashuhudia yakiumiza moyo, nilipomnyang'anya cm kuona undani wa hayo yote aligeuka mbogo na kunifokea akidai mapenz hayalamishwi. Niliona chat za rafk zake akiwaambia anataka aniache na alichat na boyz wengi akiwatembelea hostel huku kuna jemba ambayo ilichukua akili yake huku akiipelekea chakula na treatment nying za kinyamwez.
Akili ilipoteza uwezo wake, nikawa wa kuzurura viunga vya chuo na nguo zangu ambazo zilichakuka kwan ckwenda na nguo za kubadili,pesa niliishiwa na nilipopata kdogo nile niliishia kulia kwani Cafeteria nilipoenda kula ndipo mahali ambapo tulikula nae kipind cha nyuma.
Kauli yenye nguvu iliyotawala akili yangu ni "tumeumbwa tuishi na mwisho tufe kwa heri au kwa shari tupishe vizazi vijavyo, huu ni muda mwafaka wa kumpisha mpnz wangu aponde raha na nimwonyeshe kuwa nilimpenda, sioni umuhimu wa kuishi kwa karaha kheri bora nife nipumzike"
Nilijikuta katika mikono ya vijana nisiowafahamu ambao walikuwa wanasoma SUA (mungu awabariki sana).walinijenga na kukaa na mm huku wakitumia pesa zao kunihudumia. Hata waliponileta msamvu kupanda gari wakaniacha niliangua kilio hadharan nikageuka sinema pale stend...huo ndio ukawa mwanzo wa kuumia nikaambulia vidonda vya tumbo, kugombana na ndugu yangu wa damu, kuishi maisha magumu yaliyojaa hasira, roho ya kisasi,msongo wa mawazo na hisia za kujiona nadharaulika sina thamani.
Kipind hiki nikiskia jingle za xmass & new year nakumbka muda wa mwisho niliofurahi na mpnz wangu kisha akaniacha....naumia sana natamanu nisiziskie....
Chagua matron moja akuliwaze huko uliko mkuu
 
Mwaka jana mwez wa 12 mara baada tu ya mahafal yangu, nilianza kuona mabadiliko hasi kwa mpenz wangu ambayo yalianza kutishia uhai wa mahusiano yangu ambayo kwa hakika niliwekeza akili,mwili,future,rasilimali na muda wangu ktk kuyajenga. Mpenz wangu taratib alianza kubadilika japo kwa taratib sana ila nikastukia kwa sababu nilimzoea na kumjua kuanzia utosi hadi ukucha.
Baada ya kuona hayo nikajipanga kumfuata huko morogoro kwa nia ya kukaa nae karibu na kudadisi kiini cha jinamizi aliyenyemelea mahusiano yangu.mwitikio wake juu ya kumfata pia ulinitia shaka kwa sabab hakuonyesha shauku kama ilivyokuwa mwanzo. Cku moja kabla ya christmass nilienda tukawa wote na alinipa tunda vizur kwa siku ya kwanza na ya pili kisha siku 3 zilizofuata akabana kwa kuanzisha maada ya kwamba tusitishe mpka tuoane.katika hicho kipind chote tulijifungia hostel kwa sabab aligoma kwenda lodge kwani chuo kilifungwa na wanafunz wengi hawakuwepo.kwa siku tano tulijifungia tukiskiliza jingles xmass & new year na nyimbo za kikatoliki zenye jumbe za christmass. Pamoja na kubaniwa tunda cku tatu mfululizo lkn nilifurah sana kipind kile kwa kukaa nae kwani nilimpenda sana.mara baada tu ya kuondoka akaanza kubadilka tena. Ndani ya week moja alibadilka kwa kias kikubwa na hapo ndipo moyo ukaanza kuniuma na maradhi yakaanzia hapo.
.alinikatia cm
.aliongea kwa ukali
.alikuwa hana muda na mm
.kauli za kejeli na dharau ndiyo ikawa mvua iliyoninyeshea kila siku
Ucku wa mwaka mpya nilimpigia cm na kumbembeleza akakiri na kusema tuache ya mwaka jana tuanze upya. Kesho yake hali iliendelea vile na mpka aliporud chuo ndipo akazidi.alikuwa ananiaga kwny cm kuwa anaenda kudiscuss lkn nikimtxt na kumcall hajib mpka kesho yake. Nilimdodosa rafk yake ambaye alifunguka mambo mengi kuhusu kuchelewa kwake kurud, kuongozana na wanaume tofauti na mambo mengine mabaya ambayo yalinifnya nifunge safari kumfata chuo na kwa hakika niliyaona na mengine niliyashuhudia yakiumiza moyo, nilipomnyang'anya cm kuona undani wa hayo yote aligeuka mbogo na kunifokea akidai mapenz hayalamishwi. Niliona chat za rafk zake akiwaambia anataka aniache na alichat na boyz wengi akiwatembelea hostel huku kuna jemba ambayo ilichukua akili yake huku akiipelekea chakula na treatment nying za kinyamwez.
Akili ilipoteza uwezo wake, nikawa wa kuzurura viunga vya chuo na nguo zangu ambazo zilichakuka kwan ckwenda na nguo za kubadili,pesa niliishiwa na nilipopata kdogo nile niliishia kulia kwani Cafeteria nilipoenda kula ndipo mahali ambapo tulikula nae kipind cha nyuma.
Kauli yenye nguvu iliyotawala akili yangu ni "tumeumbwa tuishi na mwisho tufe kwa heri au kwa shari tupishe vizazi vijavyo, huu ni muda mwafaka wa kumpisha mpnz wangu aponde raha na nimwonyeshe kuwa nilimpenda, sioni umuhimu wa kuishi kwa karaha kheri bora nife nipumzike"
Nilijikuta katika mikono ya vijana nisiowafahamu ambao walikuwa wanasoma SUA (mungu awabariki sana).walinijenga na kukaa na mm huku wakitumia pesa zao kunihudumia. Hata waliponileta msamvu kupanda gari wakaniacha niliangua kilio hadharan nikageuka sinema pale stend...huo ndio ukawa mwanzo wa kuumia nikaambulia vidonda vya tumbo, kugombana na ndugu yangu wa damu, kuishi maisha magumu yaliyojaa hasira, roho ya kisasi,msongo wa mawazo na hisia za kujiona nadharaulika sina thamani.
Kipind hiki nikiskia jingle za xmass & new year nakumbka muda wa mwisho niliofurahi na mpnz wangu kisha akaniacha....naumia sana natamanu nisiziskie....
Pole sana mkuu,kwa maelezo yako hiyo semister ulipata vimeo masomo yote??
 
Duh! Pole mkuu yan kuna wanawake wanapata bahati ya kupendwa lakn hawapendeki, ila mwisho wa Siku atakuja jua wewe ndo unathaman na wakat uwo akiwa ameshachelewa atajuta sana
 
Mwaka jana mwez wa 12 mara baada tu ya mahafal yangu, nilianza kuona mabadiliko hasi kwa mpenz wangu ambayo yalianza kutishia uhai wa mahusiano yangu ambayo kwa hakika niliwekeza akili,mwili,future,rasilimali na muda wangu ktk kuyajenga. Mpenz wangu taratib alianza kubadilika japo kwa taratib sana ila nikastukia kwa sababu nilimzoea na kumjua kuanzia utosi hadi ukucha.
Baada ya kuona hayo nikajipanga kumfuata huko morogoro kwa nia ya kukaa nae karibu na kudadisi kiini cha jinamizi aliyenyemelea mahusiano yangu.mwitikio wake juu ya kumfata pia ulinitia shaka kwa sabab hakuonyesha shauku kama ilivyokuwa mwanzo. Cku moja kabla ya christmass nilienda tukawa wote na alinipa tunda vizur kwa siku ya kwanza na ya pili kisha siku 3 zilizofuata akabana kwa kuanzisha maada ya kwamba tusitishe mpka tuoane.katika hicho kipind chote tulijifungia hostel kwa sabab aligoma kwenda lodge kwani chuo kilifungwa na wanafunz wengi hawakuwepo.kwa siku tano tulijifungia tukiskiliza jingles xmass & new year na nyimbo za kikatoliki zenye jumbe za christmass. Pamoja na kubaniwa tunda cku tatu mfululizo lkn nilifurah sana kipind kile kwa kukaa nae kwani nilimpenda sana.mara baada tu ya kuondoka akaanza kubadilka tena. Ndani ya week moja alibadilka kwa kias kikubwa na hapo ndipo moyo ukaanza kuniuma na maradhi yakaanzia hapo.
.alinikatia cm
.aliongea kwa ukali
.alikuwa hana muda na mm
.kauli za kejeli na dharau ndiyo ikawa mvua iliyoninyeshea kila siku
Ucku wa mwaka mpya nilimpigia cm na kumbembeleza akakiri na kusema tuache ya mwaka jana tuanze upya. Kesho yake hali iliendelea vile na mpka aliporud chuo ndipo akazidi.alikuwa ananiaga kwny cm kuwa anaenda kudiscuss lkn nikimtxt na kumcall hajib mpka kesho yake. Nilimdodosa rafk yake ambaye alifunguka mambo mengi kuhusu kuchelewa kwake kurud, kuongozana na wanaume tofauti na mambo mengine mabaya ambayo yalinifnya nifunge safari kumfata chuo na kwa hakika niliyaona na mengine niliyashuhudia yakiumiza moyo, nilipomnyang'anya cm kuona undani wa hayo yote aligeuka mbogo na kunifokea akidai mapenz hayalamishwi. Niliona chat za rafk zake akiwaambia anataka aniache na alichat na boyz wengi akiwatembelea hostel huku kuna jemba ambayo ilichukua akili yake huku akiipelekea chakula na treatment nying za kinyamwez.
Akili ilipoteza uwezo wake, nikawa wa kuzurura viunga vya chuo na nguo zangu ambazo zilichakuka kwan ckwenda na nguo za kubadili,pesa niliishiwa na nilipopata kdogo nile niliishia kulia kwani Cafeteria nilipoenda kula ndipo mahali ambapo tulikula nae kipind cha nyuma.
Kauli yenye nguvu iliyotawala akili yangu ni "tumeumbwa tuishi na mwisho tufe kwa heri au kwa shari tupishe vizazi vijavyo, huu ni muda mwafaka wa kumpisha mpnz wangu aponde raha na nimwonyeshe kuwa nilimpenda, sioni umuhimu wa kuishi kwa karaha kheri bora nife nipumzike"
Nilijikuta katika mikono ya vijana nisiowafahamu ambao walikuwa wanasoma SUA (mungu awabariki sana).walinijenga na kukaa na mm huku wakitumia pesa zao kunihudumia. Hata waliponileta msamvu kupanda gari wakaniacha niliangua kilio hadharan nikageuka sinema pale stend...huo ndio ukawa mwanzo wa kuumia nikaambulia vidonda vya tumbo, kugombana na ndugu yangu wa damu, kuishi maisha magumu yaliyojaa hasira, roho ya kisasi,msongo wa mawazo na hisia za kujiona nadharaulika sina thamani.
Kipind hiki nikiskia jingle za xmass & new year nakumbka muda wa mwisho niliofurahi na mpnz wangu kisha akaniacha....naumia sana natamanu nisiziskie....
Kweli watu munajua kupenda da mimi sidhani kama naweza kupenda hadi kiasi hicho maana akili zangu zinafikilia utafutaji zaidi ya kitu chochote
 
Mwanzo nilimchukulia poa lkn matendo na kauli zake vilijaza matumaini moyoni kwangu na kuamini yeye ndiye. Alifanya mema mengi na ali-risk vitu vingi kwa ajili yangu nikajua kuwa huyo ndiye nimepewa na mwenyez Mungu.mm ni kijana mkaidi na mgomvi kwa wasichana lkn akanifanya niwe mvulana mwenye kupenda,kuwa mwaminifu na kujali..

Sikujua kama angebadilika mkuu
aisee Mkuu hapo nakupata kiasi chake...
iko hivi duniani ndugu yangu katika uwanja wa mapenzi penda kwa asilimia 80 na uache angalau asilimia 20 za yatokanayo au yasiyojulikana kama hili la kwako...ukifanya hivyo unakua na akili ya kujitambua na kutozama mazima kiasi hujielewi..
na pia hizo asilimia 20 zitakua zinakuonyesha muda mambo yanaanza kubadilika na utajua mpenzi wako akianza vitabia fulani ambavyo vinaashiria penzi kushuka au kuingiliwa...
be conscious when u fall in love
 
Pole sana mkuu. Wadau mnaoquote mpaka uzi mnaboa kinyama, si mquote koment tu, kwan umeambiwa ukikoment tu hatutajua kama unazungumzia uzi?, watu tuna frastruation zetu tukiona rangi za kijan na njano tunakumbuka miaka miwili iliyopita nyie mnakuja kutuchosha tena.
 
Back
Top Bottom