cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,552
- 5,447
Nasikia pale nssf kilikua kiwanda cha kuwaongezea nguvu waislamu sasa jiwe kaingia anaendeleza mfumo katoliki ndo maaana hadi foxy unaisoma namba ah ah
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais Magufuli ameshindwa kabisa kuielewa biashara ya real estate. Ameshindwa pia kuelewa kuwa Kigamboni ndiyo city mpya. Pia ameshindwa kuelewa uwekezaji wa dege na daraja jipya ulikuwa na uhusiano upi kibiashara.
Nadhani kuna hila kama aliyaelewa yote hayo.
Mradi wa dege ungeachwa umalizike, ni mradi mzuri sana na wenye faida endelevu kwa hesabu zozote zile.
Cha mwisho alichojitetea ni kusema ule mradi unafaa "private".
Makemikali na biashara wapi na wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app