Hahahaha... Kwa maono yako mkuu! Mapenzi upofu! Lowassa ni fisadi! Unabisha muulize tundu lissu, akikataa ntakupa ushahidi wa video akiongea hayo maneno
Na ndio muda huo huo linapigwa biguraHahahaha Hahahaaha, wakisikia kesho ataongea na vyombo vya habari serikali inasimama
njaa ikiwa kali akili inahamia kwenye makali.oUnadhani kila mtu ana njaa kama ya kwako basi
una uhakika au unadhania?Tangu uchaguzi mkuu thread zako 75% ni Lowasa, humkumbuki hata mzee wa magogoni mkuu
Kwa kweli hili jina Lowasa lina nguvu ya tofauti katika siasa za nchi yetu
Ndo shetani japo nimechelewaHuwezi kumtaja Yesu bila kumtaja Shetani. Lowassa ni Shetani mkubwa nchi hii. Mtaani kwangu ukimtania mtoto "Lowassa" atalia mchana kutwa maana anajua ni joka lenye vichwa na mikia mingi.
Yap, Ikulu ni mahali patakatifu. Jina lenye nguvu za giza haliwezi kamwe kutinga Ikulu milele.na pamoja na nguvu hizo akakosa urais???
pole