DERICK2000
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 203
- 35
Naomba kuuliza swali.je jina la mtu na mahusiano yanamaana?.kuna mtu anaitwa nelson mpenzi wake anaitwa rose.wameachana,watu wakasema hata majina yenu hayaruhusu kuwa pamoja.ni kweli na ndo nini?..na unajuaje majina yanaweza wafanya muachane mbeleni.achilia mbali mambo ya love calculator.yaani jina tu,litaleta utata mbeleni jamani.msaada,maana sielewi..