Laptop01
JF-Expert Member
- Nov 29, 2009
- 1,365
- 796
Nakubaliana kimsingi kwamba kuwepo kwa Halmashauri ya Jiji la DSM (DSM City Council-DCC) katika OR-TAMISEMI na mipaka ya nchi kwa ujumla kwa maana ya Uongozi na mipaka yake ya Kijiografia hauna tija kabisa katika uchumi na maendeleo ya nchi.
DCC is a mere consumptive administrative organisation. Hawana kitu chochote cha maendeleo wanachoweza kujivunia kwamba ndicho wanachokifanya. Hawana maeneo yoyote ya ardhi wanayoweza kujivunia na kuyaendeleza. Hata hivyo, Jina la DCC siyo rahisi kulipoteza kwani ni Nembo inayobeba mambo mengi katika historia, uchumi, siasa ukuaji wa miji hapa nchini na Mambo mengine mbalimbali ktk jamii ya WaTz.
Ikiwezekana: (a) DCC iongezewe maeneo ya kijografia kwa kutwaa maeneo yaliyopo kati ambayo kwa sasa yapo chini ya Manispaa ya Ilala ili Manispaa ya Ilala ikaanzie Tabata au Kinyerezi kuelekea Kisarawe. (b) DCC ichukue Manispaa ya Ilala yote. Ingawa wazo (b) litaleta changamoto ktk uendeshaji kwani kijografia na kiutawala DCC itakuwa so huge and complex to plan for it and govern.
DCC is a mere consumptive administrative organisation. Hawana kitu chochote cha maendeleo wanachoweza kujivunia kwamba ndicho wanachokifanya. Hawana maeneo yoyote ya ardhi wanayoweza kujivunia na kuyaendeleza. Hata hivyo, Jina la DCC siyo rahisi kulipoteza kwani ni Nembo inayobeba mambo mengi katika historia, uchumi, siasa ukuaji wa miji hapa nchini na Mambo mengine mbalimbali ktk jamii ya WaTz.
Ikiwezekana: (a) DCC iongezewe maeneo ya kijografia kwa kutwaa maeneo yaliyopo kati ambayo kwa sasa yapo chini ya Manispaa ya Ilala ili Manispaa ya Ilala ikaanzie Tabata au Kinyerezi kuelekea Kisarawe. (b) DCC ichukue Manispaa ya Ilala yote. Ingawa wazo (b) litaleta changamoto ktk uendeshaji kwani kijografia na kiutawala DCC itakuwa so huge and complex to plan for it and govern.