yanga ilianzishwa kabla ya ccm, ilianzishwa mwaka 1935,Tanu ilianzishwa mwaka 1957,CCM ilianzishwa mwaka 1961,Uhusiano kati ya yanga na ccm upo wapi hapo,au unafananisha rangi?Mbona Rage CCM lakini kiongozi wa simba acha unafki wa kike.....nimekupa LIKE kimakosa irudishe!:A S-omg:Yanga yenyewe chama.
yanga ilianzishwa kabla ya ccm, ilianzishwa mwaka 1935,Tanu ilianzishwa mwaka 1957,CCM ilianzishwa mwaka 1961,Uhusiano kati ya yanga na ccm upo wapi hapo,au unafananisha rangi?Mbona Rage CCM lakini kiongozi wa simba acha unafki wa kike.....nimekupa LIKE kimakosa irudishe!:A S-omg:
yanga ilianzishwa kabla ya ccm, ilianzishwa mwaka 1935,Tanu ilianzishwa mwaka 1957,
CCM ilianzishwa mwaka 1961,Uhusiano kati ya yanga na ccm upo wapi hapo,au unafananisha rangi?Mbona Rage CCM lakini kiongozi wa simba acha unafki wa kike.....nimekupa LIKE kimakosa irudishe!:A S-omg:
am sory kipady za computa nilio tumia ilikuwa haina namba hizo!mkuu ccm sio 05/02/1977?
pengine rage kule simba alichaguliwa baada ya kuonyesha kitu kiunoni! kwii kwiii kwi, hiyo like isikuume sana kwa kuwa nawe historia haijakaa sawa.
Duh!utetezi kama wa mawaziri wa CCMam sory kipady za computa nilio tumia ilikuwa haina namba hizo!
Inanizingua kishenzi, naiuza ninunue mpya,Poa mkuu, Nimeipenda hiyo kibodi, mwanao akiitumia kichwa yake itakuwa fresh from ccm history. to be frank nimecheka sana.