TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,887
- 11,282
wewe sasa unahalalisha fraud... forging names kupata kitu hata kama ni elimu ni fraud, and it is a criminal offense... dogo anatakiwa ajisafishe au aende jelaNafikiri tuchukulie kwa mtazamo mwingine....kuwa aliamua ku-officilize ile 'alias' i.e. Said Nassoro Bogoile alias Hamis Kingwangala. Sasa cha msingi ni kuwa hiyo elimu aliyopata kupitia alias ni kweli au vyeti ni vya kufoji! Kama elimu yake through alias haina mashaka, sioni tatizo. Turudi kwenye utanzania wake kama una shaka hapo ndipo tuseme, lakini kama la sioni hoja.
By the way alias watu walitumia sana huku kwetu enzi hizo kujikomboa wakati wa vita, manake hata elimu ilikuwa vita. Angalia mfano hapo jirani UG akina Generali Salim Saleh et. al. almost wote walitumia alias katika kupokea taaluma zao. Tusisahau mapema hivyo kuwa huko tulipotoka kielimu alias zilitumika sana kutafuta elimu, tumpongeze badala ya kumbeza.
but naamin atajisafisha tu