Jina la Sabaya lasimamisha kesi kwa muda

Hakimu aliruhusu kesi iendelee baada ya jina kurekebishwa, kama jina lilipatiwa mwanzoni wakati wa kesi inaanza kusikilizwa sioni sababu kwanini mashahidi waitwe upya, mashahidi kabla ya kutoa utetezi wao huulizwa kama wanamtambua mtuhumiwa, nao hujibu ndio, kisha kumuwekea mtuhumiwa mkono begani ndipo huanza kutoa ushahidi dhidi ya mtuhumiwa.
 
Hata akiachiwa kwa muda aliokaa rumande atakuwa ameshajifunza kuwa hakuna aliye juu ya sheria, na kitumbua chake kimeshaingia mchanga anakuwa hana tofauti na raia mwingine wa kawaida. Na inawezekana ndio ukawa mwisho wa umaarufu wake labda aje Rais mwingine atakaye muelewa
Kama Mbowe anavyojifunza sasa hivi huko Ukonga.
 
Typing error haibadilishi facts of the case. Waliofanya mistake ya jina hawakufanya mistake ya mtu. This is simply common sense.
Ukimrape mwanamke huponi kwasababu eti hakujui au katamka vibaya jina lako.

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
Yes, this is what I mean.

Typing error haibadilishi facts of the case.
 
Pamoja na kuwa mkongwe chamani na Serikalini, lakini nami ni mjuzi na msomi wa sheria. Nilimaliza sheria miaka ya themanini na kuifanyia kazi hadi miaka ya mwishoni mwa tisini. Najua ninachokiandika hapa. Nina hakika na nikiandikacho hapa.

Amini nawaambia, Lengai Ole Sabaya 'ameshaachiwa' kisheria. Punde tu atakuwa mtu huru na atatamba na kubamba kuliko pamba. Hataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi wa mashtaka. Hataachiwa kwakuwa utetezi wake una mashiko kama mwiko.

Sote tumeshuhudia jinsi kesi nzito na yenye mashiko ilivyojengwa na akina Kweka wa Jamhuri. Tumeshuhudia na kusikia jinsi utetezi wa Sabaya ulivyokuwa mwepesi kama karatasi. Lakini, Sabaya ataepuka kukutwa na hatia kama si Mahakama inayomsikiliza sasa basi ni ambayo watakata rufaa.

Sabaya ataachiwa kwa suala la kisheria. Baada ya kutokea mabishano ya kisheria kuhusu jina la Sabaya kukosewa, iliamriwa kuwa Sabaya asomewe maelezo yake upya. Akasomewa. Utetezi ukaendelea. Kuna kitu muhimu cha kisheria hakikufanyika. Mashahidi wa Jamhuri walipaswa kuitwa tena na kutoa ushahidi wao tena. Haikuwa hivyo.

Mashahidi walipaswa kuitwa upya kwakuwa Mshtakiwa 'amebadilishiwa' jina lake. Hawakuitwa na kesi inaendelea. Wao walitoa ushahidi dhidi ya Sayaba na si Sabaya. Kutoitwa tena kutatumika 'kumchomoa' Sabaya hapo au baada ya hapo. Ni suala la kisheria. Subirini mshuhudie jambo hili.

Askofu Gwajima hakamatiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kigoma Mjini)
Unamwachiaje jambazi sugu arudi mitaani?
 
Pamoja na kuwa mkongwe chamani na Serikalini, lakini nami ni mjuzi na msomi wa sheria. Nilimaliza sheria miaka ya themanini na kuifanyia kazi hadi miaka ya mwishoni mwa tisini. Najua ninachokiandika hapa. Nina hakika na nikiandikacho hapa.

Amini nawaambia, Lengai Ole Sabaya 'ameshaachiwa' kisheria. Punde tu atakuwa mtu huru na atatamba na kubamba kuliko pamba. Hataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi wa mashtaka. Hataachiwa kwakuwa utetezi wake una mashiko kama mwiko.

Sote tumeshuhudia jinsi kesi nzito na yenye mashiko ilivyojengwa na akina Kweka wa Jamhuri. Tumeshuhudia na kusikia jinsi utetezi wa Sabaya ulivyokuwa mwepesi kama karatasi. Lakini, Sabaya ataepuka kukutwa na hatia kama si Mahakama inayomsikiliza sasa basi ni ambayo watakata rufaa.

Sabaya ataachiwa kwa suala la kisheria. Baada ya kutokea mabishano ya kisheria kuhusu jina la Sabaya kukosewa, iliamriwa kuwa Sabaya asomewe maelezo yake upya. Akasomewa. Utetezi ukaendelea. Kuna kitu muhimu cha kisheria hakikufanyika. Mashahidi wa Jamhuri walipaswa kuitwa tena na kutoa ushahidi wao tena. Haikuwa hivyo.

Mashahidi walipaswa kuitwa upya kwakuwa Mshtakiwa 'amebadilishiwa' jina lake. Hawakuitwa na kesi inaendelea. Wao walitoa ushahidi dhidi ya Sayaba na si Sabaya. Kutoitwa tena kutatumika 'kumchomoa' Sabaya hapo au baada ya hapo. Ni suala la kisheria. Subirini mshuhudie jambo hili.

Askofu Gwajima hakamatiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kigoma Mjini)
Mashahidi wao walitoa ushahidi dhidi ya mtu (mtu waliyemuona kwenye tukio) ambaye alisimama mbele yao na kumtambua hapo mahakamani bila kujali jina lake anaitwa nani. Mtu aliyenishambulia akifikishwa mahakamani na nikamtambua hawi huru kwa sababu silijui jina lake.
 
Inategemea na maombi ya mawakili wa serikali walivyofanya amendment ya kifungu cha 234 CPA CAP 20 RE 2019 ambacho kina vipengele vingi mahsusi ambavyo sio lazima mashahidi au ushahidi uanze upya
 
Basi tujuze
Pamoja na kuwa mkongwe chamani na Serikalini, lakini nami ni mjuzi na msomi wa sheria. Nilimaliza sheria miaka ya themanini na kuifanyia kazi hadi miaka ya mwishoni mwa tisini. Najua ninachokiandika hapa. Nina hakika na nikiandikacho hapa.

Amini nawaambia, Lengai Ole Sabaya 'ameshaachiwa' kisheria. Punde tu atakuwa mtu huru na atatamba na kubamba kuliko pamba. Hataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi wa mashtaka. Hataachiwa kwakuwa utetezi wake una mashiko kama mwiko.

Sote tumeshuhudia jinsi kesi nzito na yenye mashiko ilivyojengwa na akina Kweka wa Jamhuri. Tumeshuhudia na kusikia jinsi utetezi wa Sabaya ulivyokuwa mwepesi kama karatasi. Lakini, Sabaya ataepuka kukutwa na hatia kama si Mahakama inayomsikiliza sasa basi ni ambayo watakata rufaa.

Sabaya ataachiwa kwa suala la kisheria. Baada ya kutokea mabishano ya kisheria kuhusu jina la Sabaya kukosewa, iliamriwa kuwa Sabaya asomewe maelezo yake upya. Akasomewa. Utetezi ukaendelea. Kuna kitu muhimu cha kisheria hakikufanyika. Mashahidi wa Jamhuri walipaswa kuitwa tena na kutoa ushahidi wao tena. Haikuwa hivyo.

Mashahidi walipaswa kuitwa upya kwakuwa Mshtakiwa 'amebadilishiwa' jina lake. Hawakuitwa na kesi inaendelea. Wao walitoa ushahidi dhidi ya Sayaba na si Sabaya. Kutoitwa tena kutatumika 'kumchomoa' Sabaya hapo au baada ya hapo. Ni suala la kisheria. Subirini mshuhudie jambo hili.

Askofu Gwajima hakamatiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kigoma Mjini)
Tujuze ilikuwaje aliitika kwa jina sio lake,kila siku
 
Pamoja na kuwa mkongwe chamani na Serikalini, lakini nami ni mjuzi na msomi wa sheria. Nilimaliza sheria miaka ya themanini na kuifanyia kazi hadi miaka ya mwishoni mwa tisini. Najua ninachokiandika hapa. Nina hakika na nikiandikacho hapa.

Amini nawaambia, Lengai Ole Sabaya 'ameshaachiwa' kisheria. Punde tu atakuwa mtu huru na atatamba na kubamba kuliko pamba. Hataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi wa mashtaka. Hataachiwa kwakuwa utetezi wake una mashiko kama mwiko.

Sote tumeshuhudia jinsi kesi nzito na yenye mashiko ilivyojengwa na akina Kweka wa Jamhuri. Tumeshuhudia na kusikia jinsi utetezi wa Sabaya ulivyokuwa mwepesi kama karatasi. Lakini, Sabaya ataepuka kukutwa na hatia kama si Mahakama inayomsikiliza sasa basi ni ambayo watakata rufaa.

Sabaya ataachiwa kwa suala la kisheria. Baada ya kutokea mabishano ya kisheria kuhusu jina la Sabaya kukosewa, iliamriwa kuwa Sabaya asomewe maelezo yake upya. Akasomewa. Utetezi ukaendelea. Kuna kitu muhimu cha kisheria hakikufanyika. Mashahidi wa Jamhuri walipaswa kuitwa tena na kutoa ushahidi wao tena. Haikuwa hivyo.

Mashahidi walipaswa kuitwa upya kwakuwa Mshtakiwa 'amebadilishiwa' jina lake. Hawakuitwa na kesi inaendelea. Wao walitoa ushahidi dhidi ya Sayaba na si Sabaya. Kutoitwa tena kutatumika 'kumchomoa' Sabaya hapo au baada ya hapo. Ni suala la kisheria. Subirini mshuhudie jambo hili.

Askofu Gwajima hakamatiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kigoma Mjini)
Kumbuka hata akienda kwenye rufaa ni lazima athibitishe kuwa the purported clerical error occasioned to miscarriage of justice
Kwa kuwa hujajishughulisha na practice ya sheria kwa muda mrefu ni vema ukajipa muda wa kupitia recent authorities. Sheria ni taaluma ambayo kila siku mwanasheria anajifunza, especially for those who choose to practice law
 
Pamoja na kuwa mkongwe chamani na Serikalini, lakini nami ni mjuzi na msomi wa sheria. Nilimaliza sheria miaka ya themanini na kuifanyia kazi hadi miaka ya mwishoni mwa tisini. Najua ninachokiandika hapa. Nina hakika na nikiandikacho hapa.

Amini nawaambia, Lengai Ole Sabaya 'ameshaachiwa' kisheria. Punde tu atakuwa mtu huru na atatamba na kubamba kuliko pamba. Hataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi wa mashtaka. Hataachiwa kwakuwa utetezi wake una mashiko kama mwiko.

Sote tumeshuhudia jinsi kesi nzito na yenye mashiko ilivyojengwa na akina Kweka wa Jamhuri. Tumeshuhudia na kusikia jinsi utetezi wa Sabaya ulivyokuwa mwepesi kama karatasi. Lakini, Sabaya ataepuka kukutwa na hatia kama si Mahakama inayomsikiliza sasa basi ni ambayo watakata rufaa.

Sabaya ataachiwa kwa suala la kisheria. Baada ya kutokea mabishano ya kisheria kuhusu jina la Sabaya kukosewa, iliamriwa kuwa Sabaya asomewe maelezo yake upya. Akasomewa. Utetezi ukaendelea. Kuna kitu muhimu cha kisheria hakikufanyika. Mashahidi wa Jamhuri walipaswa kuitwa tena na kutoa ushahidi wao tena. Haikuwa hivyo.

Mashahidi walipaswa kuitwa upya kwakuwa Mshtakiwa 'amebadilishiwa' jina lake. Hawakuitwa na kesi inaendelea. Wao walitoa ushahidi dhidi ya Sayaba na si Sabaya. Kutoitwa tena kutatumika 'kumchomoa' Sabaya hapo au baada ya hapo. Ni suala la kisheria. Subirini mshuhudie jambo hili.

Askofu Gwajima hakamatiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kigoma Mjini)
OBJECTION.
 
Pamoja na kuwa mkongwe chamani na Serikalini, lakini nami ni mjuzi na msomi wa sheria. Nilimaliza sheria miaka ya themanini na kuifanyia kazi hadi miaka ya mwishoni mwa tisini. Najua ninachokiandika hapa. Nina hakika na nikiandikacho hapa.

Amini nawaambia, Lengai Ole Sabaya 'ameshaachiwa' kisheria. Punde tu atakuwa mtu huru na atatamba na kubamba kuliko pamba. Hataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi wa mashtaka. Hataachiwa kwakuwa utetezi wake una mashiko kama mwiko.

Sote tumeshuhudia jinsi kesi nzito na yenye mashiko ilivyojengwa na akina Kweka wa Jamhuri. Tumeshuhudia na kusikia jinsi utetezi wa Sabaya ulivyokuwa mwepesi kama karatasi. Lakini, Sabaya ataepuka kukutwa na hatia kama si Mahakama inayomsikiliza sasa basi ni ambayo watakata rufaa.

Sabaya ataachiwa kwa suala la kisheria. Baada ya kutokea mabishano ya kisheria kuhusu jina la Sabaya kukosewa, iliamriwa kuwa Sabaya asomewe maelezo yake upya. Akasomewa. Utetezi ukaendelea. Kuna kitu muhimu cha kisheria hakikufanyika. Mashahidi wa Jamhuri walipaswa kuitwa tena na kutoa ushahidi wao tena. Haikuwa hivyo.

Mashahidi walipaswa kuitwa upya kwakuwa Mshtakiwa 'amebadilishiwa' jina lake. Hawakuitwa na kesi inaendelea. Wao walitoa ushahidi dhidi ya Sayaba na si Sabaya. Kutoitwa tena kutatumika 'kumchomoa' Sabaya hapo au baada ya hapo. Ni suala la kisheria. Subirini mshuhudie jambo hili.

Askofu Gwajima hakamatiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kigoma Mjini)
Kumbe sheria ni za hovyo hivyo! Sasa mbona wanajiita wasomi wakati wamesoma ngeini mwanzo mwisho. Hivi kuna mwanasheria anauejua hata log2. Mi nawaonaga wanasheria ni vilaza wa kutupwa na sheria nu uhanja unanja tu kila mtu anaweza kuwa mwanasheria bila hata kusoma ilimradi uwe mjanja.
 
Pamoja na kuwa mkongwe chamani na Serikalini, lakini nami ni mjuzi na msomi wa sheria. Nilimaliza sheria miaka ya themanini na kuifanyia kazi hadi miaka ya mwishoni mwa tisini. Najua ninachokiandika hapa. Nina hakika na nikiandikacho hapa.

Amini nawaambia, Lengai Ole Sabaya 'ameshaachiwa' kisheria. Punde tu atakuwa mtu huru na atatamba na kubamba kuliko pamba. Hataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi wa mashtaka. Hataachiwa kwakuwa utetezi wake una mashiko kama mwiko.

Sote tumeshuhudia jinsi kesi nzito na yenye mashiko ilivyojengwa na akina Kweka wa Jamhuri. Tumeshuhudia na kusikia jinsi utetezi wa Sabaya ulivyokuwa mwepesi kama karatasi. Lakini, Sabaya ataepuka kukutwa na hatia kama si Mahakama inayomsikiliza sasa basi ni ambayo watakata rufaa.

Sabaya ataachiwa kwa suala la kisheria. Baada ya kutokea mabishano ya kisheria kuhusu jina la Sabaya kukosewa, iliamriwa kuwa Sabaya asomewe maelezo yake upya. Akasomewa. Utetezi ukaendelea. Kuna kitu muhimu cha kisheria hakikufanyika. Mashahidi wa Jamhuri walipaswa kuitwa tena na kutoa ushahidi wao tena. Haikuwa hivyo.

Mashahidi walipaswa kuitwa upya kwakuwa Mshtakiwa 'amebadilishiwa' jina lake. Hawakuitwa na kesi inaendelea. Wao walitoa ushahidi dhidi ya Sayaba na si Sabaya. Kutoitwa tena kutatumika 'kumchomoa' Sabaya hapo au baada ya hapo. Ni suala la kisheria. Subirini mshuhudie jambo hili.

Askofu Gwajima hakamatiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kigoma Mjini)
kwani shahidi walikuwa akiulizwa wanataja SAYABA AU SABAYA! mtu kaambiwa akamtambue sabaya na akaenda kumgusa
 
Back
Top Bottom