Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua vitu vingine mnapoandika na kutaka sifa za KIJINGA muwe mnatumia AKILI, embu Niambie kunasehemu yeyote hapo alipotajwa KIKWETE? au HATA TANZANIA?
Hii safari ni mojawapo ya safari pungufu kabisa ya hesabu uliyotoa ambayo angelazimika kwenda. jk anakwea sana mpipa. Nyingi ya safari angeweza kuwakilishwa.Kaisha vunja rekodi ya Rais Obasanjo;hii ni safari yake ya 361 dhidi ya 360 za Obasanjo(Nipo tayari kukosolewa nikikosea tarakimu)
amebaki peke yake Afrika.
Mara nyingi jina ni kielelezo halisi cha tabia ya mtu!Wivu wa kike utakutoa meno.
Nyie vijana wa kichaga ni wa ajabu sana.
Kaka bora umeleta uthibitisho. Kwa sababu nimeuliza hapa nikatukanwa sana.
Tatizo la wabongo vilaza hawaulizi na ni wavivu wa kufuatilia mambo. JK wala hakuna mtu anayemjua huko SA
Eti wamesema unamwonea wivu JK
Hii habari ipo kwenye gazeti la mwananchi. Mleta hii topic ndio amepotosha kichwa cha habari. Huu ndio upuuzi wa JF. Hakuna standard. Huwezi kunukuu habari ya gazeti halafu ukaiukaaingiza huko maneno yako. Habari ni kama ilivo kwenye gazeti, kichwa cha habari ni tofauti. This is not acceptableKwa kweli hili jambo linashangaza.
Kwa kigezo gani cha kumfanya Kikwete aongoze mazishi ya Mandela?
Au rekodi yake ya kuhudhuria mazishi ya watu wa jamii mbalimbali, wakiwemo hata watu wa kawaida sana, ndilo limempandisha chati, hadi kupewa wadhifa huo, wa kuongoza viongozi wote duniani, katika mazishi hayo ya mzee Mandela, mtu anayeaminika kuwa, miongoni ya watu mashuhuri sana, walioishi katika karne hizi ya 20 na 21?
unayeleta thread kama hii inabidi uwe na uelewa juu ya uzalendo...nitarudi baadaye.
Uwe unasoma Thread mpaka mwisho.
Hii habari ipo kwenye gazeti la mwananchi. Mleta hii topic ndio amepotosha kichwa cha habari. Huu ndio upuuzi wa JF. Hakuna standard. Huwezi kunukuu habari ya gazeti halafu ukaiukaaingiza huko maneno yako. Habari ni kama ilivo kwenye gazeti, kichwa cha habari ni tofauti. This is not acceptable
JK hata kama angekuwa maarufu hana haki ya kuongoza mazishi ya kiongozi aliye kinyume chake kwa asilimia 100. Hebu fikiria visasi vya JK ulinganishe na roho ya msamaha ya huyu anayeagwa!!Kaka bora umeleta uthibitisho. Kwa sababu nimeuliza hapa nikatukanwa sana.
Tatizo la wabongo vilaza hawaulizi na ni wavivu wa kufuatilia mambo. JK wala hakuna mtu anayemjua huko SA
Uwe una unasoma thread mpaka mwisho, unaweza ukawa ni ujinga pia.
Ndio atauona uzalendo wako???!!!!!
Mjadala ndani ya mjadala hapa tutaharibu uzi wa watu!!!!
Hiyo tofauti kubwa ndio convention yenyewe sasa itayohitaji uzi wa pekee!!!
Amebaki na wenzake akina UHURUTOamebaki peke yake Afrika.
JK hata kama angekuwa maarufu hana haki ya kuongoza mazishi ya kiongozi aliye kinyume chake kwa asilimia 100. Hebu fikiria visasi vya JK ulinganishe na roho ya msamaha ya huyu anayeagwa!!