Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,273
- 17,096
Elimu inaingiaje hapa; kama kuongoza in real sense itakuwa kiongozi wa kidini mkuu unless President Zuma is
Kiongozi wa kidini ataongoza ibada ya mazishi na Zuma ataongoza mazishi yenyewe kwa ujumla wake,ibada ikiwa ni sehemu tu ya shughuli. Kuna tofauti kubwa sana kati ya hayo mawili.