evocom
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 253
- 218
Poleni na Majukumu ya Leo wana JF.
Naomba kujua niongeze maarifa.
Nchi yetu sehemu mbalimbali za mitaa na barabara ziko na majina ya viongozi nguli mfano Kenyatta Road. Nkrumah. Mandela, Obama Road nk.
Je, majina kama Nyerere, Sokoine, Milambo na mashujaa wengine wa nchi. Majina yao yameandikwa kwenye mitaa,/ barabara za kwao kama sisi tulivyoandika majina ya nchi majirani? Na kama zipo ni nchi zipi na majina yepi yameandikwa kwa sana kutoka Tanzania?
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua niongeze maarifa.
Nchi yetu sehemu mbalimbali za mitaa na barabara ziko na majina ya viongozi nguli mfano Kenyatta Road. Nkrumah. Mandela, Obama Road nk.
Je, majina kama Nyerere, Sokoine, Milambo na mashujaa wengine wa nchi. Majina yao yameandikwa kwenye mitaa,/ barabara za kwao kama sisi tulivyoandika majina ya nchi majirani? Na kama zipo ni nchi zipi na majina yepi yameandikwa kwa sana kutoka Tanzania?
.
Sent using Jamii Forums mobile app