Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikeke wa bbc akiwa mtaani...
Mbona kule Msumbiji kuna timu ya Mpira wa miguu inaitwa Chipumbu FC.
Hilo jina ni kweli kabisa mmoja yupo hapa Tanzania alikuja ofisini kwetu akajitambulisha hivyo, badala ya kumpokea tukaangua kicheko wote, ikabidi tumfupishe tumwite MR MOTO.Japan iko team inaitwa Kumamoto
Mbona na Moshi kuna ukoo unaitwa wa MBORO?Angola kuna team inaitwa Libolo
Angola kuna team inaitwa Libolo
Hilo jina ni kweli kabisa mmoja yupo hapa Tanzania alikuja ofisini kwetu akajitambulisha hivyo, badala ya kumpokea tukaangua kicheko wote, ikabidi tumfupishe tumwite MR MOTO.
mmmh hivo hata nyimbo zao neno hilo halipo ? huwa nasikiaga ya ajabu!!Cha kushangaza ni kwamba mtaa huu upo in the country where Swahili is a national language, with more than 30M Congolese speaking Swahili. Haya ni makusudi tu, maana hilo neno halina maana kwa kikongo, tshiluba wala lingala (the 3 other national languages). lina maana kwa kiswahili tu!
Mtaa wenyewe umepakana na Av. Batetela, na Batetela speak swahili!
Angola kuna team inaitwa Libolo
Cha kushangaza ni kwamba mtaa huu upo in the country where Swahili is a national language, with more than 30M Congolese speaking Swahili. Haya ni makusudi tu, maana hilo neno halina maana kwa kikongo, tshiluba wala lingala (the 3 other national languages). lina maana kwa kiswahili tu!
Mtaa wenyewe umepakana na Av. Batetela, na Batetela speak swahili!
Nani kasema hawaongei Kiswahili Kinshasa? Kinshasa is the capital city, lugha zote za Kongo wanaongea, na zaidi since aFDL, jeshi, intelligence na wizara nyingi zinatumia kiswahili because they come from the east. Hapo in bold I beg to differ...Ila Kinshasa hawazungumzi kiswahili ni kifaransa na lingala......South Kivu and North Kivu ndio kiswahili sana...
....Hilo mbona north kivu kuna eneo linaitwa Mbo.ro ...hata uki google unalipata...majina kama haya kwa congo naona wanaona kawaida tu.
Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!! Watu8, unanitukana, kuna kitu unanitafuta, haki ya nani tena!!!!!!!