we dada na wewe si una mpenzi wako wa zamani na wewe uwe unamtaja sasa...yaani ye anamwaga mboga we unamwaga ugali...tena wakati wa hilo mnaloita tendo la ndoa ndo zidisha kumtaja huyo mwanaume wako wa zamani vibaya sanaaaaaa
Huyo dada avumilie, asijali bado mapema, ila yeye anatakiwa aongeze majonjo ili mumewe azime mshumaaa, talaka si suluhisho, anachotakiwa kufanya ni kuongeza mautundu co kulalamika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.