Jina la "Magufuli" liandikwe katika moja ya ndege kubwa

shige2

JF-Expert Member
Oct 11, 2016
8,106
3,967
Wana JF naandika uzi huu ili tuujadili.

Mh. Rais Magufuli kusema ukweli tuache haya mengine huyu rais kafanya makubwa kwa muda mfupi sana. Anahitajika KUKUMBUKWA na KUTAMBULIWA kama kiongozi jasiri anyeona mbali.

Moja ya jambo hilo ni kufufua shirika letu la ndegeATCL ambalo lilikuwa limekufa KABISA.
Ili VIZAZI vingine vijavyo viweze kumkumbuka Magufuli kama rais aliyeliweka kulifufua shirika letu la ndege miongoni mwa mambo mengi makubwa aliyoweza kuyafanya katika muda mfupi sana.

Sisemi kwamba yeye hana mapungufu bali kwa ukweli kabisa ATCL inahitaji iweze kuliweka jina la MAGUFULI katika moja ya ndege zetu kubwa.

Sina maana ya KU REPLACE nembo na JINA la ATCL bali jina iandikwe pale MBELE ya ndege UBAVUNI Kushoto na Kulia kama yalivyo mashirika menhgine ya ndege ambayo kando ya jina la Shirika la ndege pale mbele HUANDIKWA jina lolote.
Ndo maana hata jirani zetu baadhi ya ndege zina jina KILIMANJARO wakati mlima uko kwetu.
Mimi naona jina lake liandikwe UBAVUNI..

Si kwamba yeye atajivuna bali sisi pia kama Watanzania tutajivuna na kukumbuka tulikuwa na rais aliyebadilidha mambo.
Wakuu mwaaonaje?
 
Last edited:
Hapana tusiandike jina lake kwenye ndege bali tubadili jina la makao makuu ya ATCL jengo lao liitwe Magufuli House au Magufuli Tower.

Subiria matusi mkuu.
 
Wana JF naandika uzi huu ili tuujadili.

Mh. Rais Magufuli kusema ukweli tuache haya mengine huyu rais kafanya makubwa kwa muda mfupi.

Moja ya jambo hilo ni kufufua shirika letu la ndegeATCL ambalo lilikuwa limekufa KABISA.
Ili VIZAZI vingine vijavyo viweze kumkumbuka Magufuli kama rais aliyeliweka kulifufua shirika letu la ndege miongoni mwa mambo mengi makubwa aliyoweza kuyafanya katika muda mfupi sana.

Sisemi kwamba yeye hana mapungufu bali kwa ukweli kabisa ATCL inahitaji iweze kuliweka jina la MAGUFULI katika moja ya ndege zetu kubwa.

Si kwamba yeye atajivuna bali sisi pia kama Watanzania tutajivuna na kukumbuka tulikuwa na rais aliyebadilidha mambo.
Wakuu mwaaonaje?
Mi napendekeza uliandike kwenye mlango wa kuingia chumbani kwako itapendeza zaidi.
 
Hapana tusiandike jina lake kwenye ndege bali tubadili jina la makao makuu ya ATCL jengo lao liitwe Magufuli House au Magufuli Tower.

Subiria matusi mkuu.
Pia una pointi lakini nani ataliona jengo nje ya Tanzania. kama ni hivyo basi vyote viwili.
 
Mi napendekeza uliandike kwenye mlango wa kuingia chumbani kwako itapendeza zaidi.
Mbona hivyo tena. Kwani huoni juhudi zilizofanyika?
Unafikiri ndege kama hizo kwa muda mrefu zitaleta manufaa. Shirika lilikuwa limekufa fafafa.
Na kama huoni poe sana,.
 
Hivi ngoja nikuulize umewaza nini kuwachokoza watu kiasi hiki?

Watu hawajasahau ya Waitara na ya kule Monduli.
Mkuu akili ni nywele kila mtu ana zake.Mtu akiumia moyoni sikuwa nalenga kumuumiza mtu katika kile anachokiamni.
 
Wana JF naandika uzi huu ili tuujadili.

Mh. Rais Magufuli kusema ukweli tuache haya mengine huyu rais kafanya makubwa kwa muda mfupi.

Moja ya jambo hilo ni kufufua shirika letu la ndegeATCL ambalo lilikuwa limekufa KABISA.
Ili VIZAZI vingine vijavyo viweze kumkumbuka Magufuli kama rais aliyeliweka kulifufua shirika letu la ndege miongoni mwa mambo mengi makubwa aliyoweza kuyafanya katika muda mfupi sana.

Sisemi kwamba yeye hana mapungufu bali kwa ukweli kabisa ATCL inahitaji iweze kuliweka jina la MAGUFULI katika moja ya ndege zetu kubwa.

Si kwamba yeye atajivuna bali sisi pia kama Watanzania tutajivuna na kukumbuka tulikuwa na rais aliyebadilidha mambo.
Wakuu mwaaonaje?
Mbona mnahangaika kumpamba? Mnahofia nini? Wahenga: Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza!
 
Wewe unafurahia kukufuka kwa ATCL? Je likifufuka litaishi?
Kufufuka sio tatizo, tatizo liko kwenye kuishi baada ya kukufuka.

Tulichokifanya hapa sio kufufua bali ni kufukua mwili wa marehemu na kuukausha kisha kuuweka kwenye kioo na kuuvisha nguo mpya nzuri na za gharama na kuuweka hapo sebuleni ili kuonyesha watu kua marehem hajafa yuko hai huku ukweli ukiwa kua jamaa kafa.
 
kalifufua vipi..elezea
Kwani mkuu tunahitaji kuelezea?
Mambo yenyewe yanaonekana. Hata mtoto
Mbona mnahangaika kumpamba? Mnahofia nini? Wahenga: Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza!
Hatumpambi kama ni mazuri yasemwe. Na palipo na kukosoa tukosoe kwa adabu.
Kwani hauoni SHIRIKA la ATCL MLILILA mpaka MKALIMALIZA?
Jamaa kaingia akatelemsha.
Ni vizuri ATCL imkumbuke kwa kazi nzuri inayojielelza.
 
Wewe unafurahia kukufuka kwa ATCL? Je likifufuka litaishi?
Kufufuka sio tatizo, tatizo liko kwenye kuishi baada ya kukufuka.

Tulichokifanya hapa sio kufufua bali ni kufukua mwili wa marehemu na kuukausha kisha kuuweka kwenye kioo na kuuvisha nguo mpya nzuri na za gharama na kuuweka hapo sebuleni ili kuonyesha watu kua marehem hajafa yuko hai huku ukweli ukiwa kua jamaa kafa.
Watanzania kwa nini baadhi yetu Watanzania ni Pessimists/Wasiotarajia MAZURI?????
 
Kwani mkuu tunahitaji kuelezea?
Mambo yenyewe yanaonekana. Hata mtoto

Hatumpambi kama ni mazuri yasemwe. Na palipo na kukosoa tukosoe kwa adabu.
Kwani hauoni SHIRIKA la ATCL MLILILA mpaka MKALIMALIZA?
Jamaa kaingia akatelemsha.
Ni vizuri ATCL imkumbuke kwa kazi nzuri inayojielelza.
kwa nini usitoe muda kidogo ndio tutaona kama shirika liko imara,kwa sasa hata financial statements za shirika tunanyimwa kuziona
 
Back
Top Bottom