There are so many ways to become popular.Maprofesa wa Chuo Kikuu cha Coventry nchini Uingereza, wakiongozwa na Mkuu wa Chuo, Irene Glendinning, pamoja na Ukumbi mzima, ulizizima wakati jina la Mtanzania aitwaye Dk. John Pima lilipotajwa wakati wa Mahafali ya wahitimu wa Kozi ya Uzamivu wapatao 11 waliotoka katika Mataifa tisa duniani.
Dk. Pima ambaye alikuwa shuhuda, alieleza kuwa, baada ya jina lake kusomwa ili aende mbele kutunukiwa shahada ya Uzamivu, walipotaja tu John Pima from Tanzania, shangwe ziliibuka wakitaja Magufuli .... Magufuli ... Magufuli ... Tanzania."
Dk. Pima alieleza kuwa, baada ya mahafali, maprofesa na wahitimu wenzake walimfuata na kumuulizia habari za Rais Magufuli wanazosikia kwenye vyombo vya habari wakitaka kujua ni mtu wa namna gani? Wengi walipongeza kasi na msimamo wake wa:
Walidai Nchi nyingi za kiafrika zina rasilimali nyingi lakini Viongozi wao hawana uthubutu wa kufanya maamuzi magumu na hawana maono kama ya Rais Magufuli, na kwamba hawatambui kuwa kama wanaweza kujiletea maendeleo pasipo kutegemea misaada kutoka mataifa makubwa.
- kukusanya mapato,
- kudhibiti matumizi ya fedha za umma,
- kushughulikia mafisadi,
- ununuzi wa ndege,
- upanuzi wa bandari
- ujenzi wa barabara za juu
- uanzishwaji wa viwanda.
View attachment 842223
As one who is famous is popular so is the notorious! Amuulize Mpoto:sio kila wakupigiao makofi wanakushangilia. Waingereza? Gentlemen! Kwani wale learned advocates waliomwandikia barua hawamfahamu mpaka kuulizia habari za Magufuli? Mgambilwa unajua kutafuta sana habari. Mbona unazipata tu. Uzipendazoooo. Za kujipendekeza!