Online Pastor
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,948
- 1,515
Tunda hili huitwa mtogo na matunda yake huitwa matogo kwa kinyiramba.
Kinyamwezi huitwa mahonda,na karibu kila lugha ina jina lake.
Matunda yake yakiiva huwa matamu ya huwa magumu kabla ya kutafunwa,na huwa malaini kama makamasi.
Wanyiramba huyaita bigiji ya asili.
Naomba jina la kitaalamu ya haya matunda na mti wake.
Kinyamwezi huitwa mahonda,na karibu kila lugha ina jina lake.
Matunda yake yakiiva huwa matamu ya huwa magumu kabla ya kutafunwa,na huwa malaini kama makamasi.
Wanyiramba huyaita bigiji ya asili.
Naomba jina la kitaalamu ya haya matunda na mti wake.