ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
iyo ni Tigo tu, hakuna chochote bana, af matumizi ya K-Y mmeyabadilisha sana hiyo sio kazi yake.wapendwa kile kitu kikitendewa haki yake kinafunguka bila ajizi.
Mate yako yana kazi gani?
Unataka kum...... mkeo?
Unachotaka kufanya ni sawa na maharage yakatae kuiva halafu unayaponda kwa mwiko, jibu ni kuwa hayajaiva tu na hayatakuwa na ladha.
Ingia pharmacy uulizie KY, hii kitu safi sana. Kuna rafiki yangu aliweza kupewa mimba na muathirika bila kumuambukiza virusi, ni kwa sababu walikuwa wanatumia KY
wanaume wa kibongo,hopeless ikija maswala ya romance...ngoja nitafute mkenya au mganda...lol
Asante sana Mpwa...your such a saviour, i hope inaarufu nzuri na kwa uzoefu wako inakidhi mahitaji.Curious
Ni kweli kama unavyosema kuhusu hiyo KY jelly kazi yake ilikuwa ni kutumika kwa madaktari kupima mambo ya uzazi tumboni sio kwa mambo ya ngono.Mkuu.@Tafakuru inaonekana wewe ni mgeni kuhusu kufanya mapenzi na mwanamke?UnatakiwaJamani lakini kwani KY jelly matumizi yake nini hasa? hii ilikusudiwa for vaginal lubriction hasa wakati wa clinical investigations. Mara nyingi akina mama wenye matatizo ya uzazi Dr anapovaa gloves ili amwingize mkono(vidole) ili ampime huwa anaumia sana manake glove ni kavu so hii jelly huwa inasaidia kulainisha ili mkono wa upite.
Pia kwa wale ambao vaginl secretions ni pungufu ama hazitoshi basi waweza saidiwa na hii jelly manake iko sterile. Matumizi ya mate siyo mazuri manake kinywa kina wadudu wengi ambao wanaweza kunekana kwenye mate so kumlainisha kwa mate mwenzio ni hatari sana. waweza kumuingizia bacteria walioko kinywani.
bacteria kama Actinobacillus actinomycetemcomitans, Tannerella forsythia, and total streptococci wanaozalishwa kwenye buccal epithelia cells wanaweza kuwepo hivyo be very smart on using it.
ushauri wangu wa bure kama wewe ni mgonjwa wa jino au meno au unafangas kinywani dont dare use your saliva uutamcontaminate mwenzi wako na magonjwa ya ajabu. nafikiri Kongosho umenielewa kidogo ingawa ningemuomba Mzizi mkavu atuelezee vizuri kidaktari. hii imekaa kialimu sana
Mate yako yana kazi gani?
Unataka kum...... mkeo?
Unachotaka kufanya ni sawa na maharage yakatae kuiva halafu unayaponda kwa mwiko, jibu ni kuwa hayajaiva tu na hayatakuwa na ladha.
Nitaipata wapi kwa hapa dsm? na bei yake tafadhali..naihitaji sana hii jelly.
Vilevile kuna KUNDI HILI LA WANAWAKE WAKAVU. Wameumbwa hivyo. Mara nyingi inataka wachezewe sana mpaka wao wanachoka. Anajiona yuko tayari na anakuambia hivyo ila kuingia ingakuwa ngoma nzita. Mara nyingi mnaishia kwenye kuumizana na vidonda. Ni maumbile. Katika dunia ya leo hizo ndiyo solutions za matatizo kama haya. Huu ndiyo ukweli kuhusu haya matatizo.
Wadau naombeni jina la kimiminika kisichokua na madhara kwa mtumiaji kwa ajili ya kumlainisha mke wangu sehem zake. Hii ni kwa ajili ya kumpa foreplay(sehem muhim sana hi kitandani) ya kutosha na vimassage kabla ya kumuingilia.
Kwa anaefaham naomba anisaidie tu jina ana bei yake.
Mate yako yana kazi gani?
Unataka kum...... mkeo?
Unachotaka kufanya ni sawa na maharage yakatae kuiva halafu unayaponda kwa mwiko, jibu ni kuwa hayajaiva tu na hayatakuwa na ladha.
Bado unatumia KY ?Asante sana Mpwa...your such a saviour, i hope inaarufu nzuri na kwa uzoefu wako inakidhi mahitaji.Curious
Tumia ky aisee iko safi sana manake hata ukitia kule kunakuwa lainiiii sembuse huko tenaWadau naombeni jina la kimiminika kisichokua na madhara kwa mtumiaji kwa ajili ya kumlainisha mke wangu sehem zake. Hii ni kwa ajili ya kumpa foreplay(sehem muhim sana hi kitandani) ya kutosha na vimassage kabla ya kumuingilia.
Kwa anaefaham naomba anisaidie tu jina ana bei yake.
Ndo hilo hilo lengo lake sema hawezi kusema wazi ila mwenye akili anajua:biggrin1: bro foreplay haitaji KY unless unataka kumfanyia mkeo mchezo mbaya