Jina la baba limekosewa katika cheti cha kifo, kuna madhara gani katika kuomba mkopo?

Mack Thoma

Member
Jul 12, 2022
19
1
Eti Kama jina la baba katika cheti cha kifo kimekosewa ina madhara nikiki-attach kwenye kuomba Mkopo was chuo?
 
Ilinitokea hiyo, ila niliambatanisha hivyo hivyo nikapata.. wengine niliokutana nao chuoni waliambatanisha hivyo hivyo (iliyokosewa) na wakakosa. Sijui wanaangalia nini ila we fikiria possibility kuwa 50%-50%.

Cha kufanya, nenda mahakamani katafute mwanasheria akuajazie affidavit na saini yake & mhuri ni muhimu. Kisha ambatanisha. Hapo ndio utakuwa kwenye safe side.
 
Ilinitokea hiyo, ila niliambatanisha hivyo hivyo nikapata.. wengine niliokutana nao chuoni waliambatanisha hivyo hivyo (iliyokosewa) na wakakosa. Sijui wanaangalia nini ila we fikiria possibility kuwa 50%-50%.

Cha kufanya, nenda mahakamani katafute mwanasheria akuajazie affidavit na saini yake & mhuri ni muhimu. Kisha ambatanisha. Hapo ndio utakuwa kwenye safe side.
Samahan Kwan nisipo eka hiki cheti Cha kifo siwez kupata
 
Samahan Kwan nisipo eka hiki cheti Cha kifo siwez kupata
Inategemea na vigezo vyengine ulivyonavyo.

Kama unaona ukiambatanisha na cheti cha kifo itaongeza uzito ni bora uweke au la kama una vigezo vitakavyoweza kukubeba kama kada za afya, hx ya govn schools, etc (sijui siku hizi kuna vigezo gani) basi unaweza ukaamua usiweke na ukapata.

Lakini kwa ushauri wangu we weka hicho hicho kilichokosewa. Kama nilivyokwambia mi niliweka hicho kilichokosewa na nikafanikiwa kupata full.
Uamuzi ni wako by the way!
 
Back
Top Bottom