Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,887
Kabla ya wazungu kuja Ziwa victoria lilikuwa linaitwa Nyanza. Maana ya Nyaza ni eneo pana lenye maji(Ziwa). Hata jina Rasmu walililipa wazungu ni Victoria-Nyanza. Hata ziwa Nyasa ni hivyohivyo. Neno Nyasa na neno Nyanza yana maana moja.
Sasa hili neno Tanganyika linamaanisha nini? Na kuna jina la asili la hili ziwa?
Sasa hili neno Tanganyika linamaanisha nini? Na kuna jina la asili la hili ziwa?