yaani kila ukienda sehemu utakutana na jina hili " MA.TA.KO. bar
Hivi hili ninini kinapelekea kuitwa hv?
Hata jina la bar linakuwa ni jingine ila duh linapachikwa hili jingine
mmh inanikera sana
Jamani kunani
lipo sehemu nyingi tuu
.......eeh kumbe lipo sehemu nyingi...mi nilizani ni pale night park peke yake......nadhani sababu ya kuita hayo majina ni pale wamiliki wanapoamua kuweka wanawake wenye makalio makubwa basi unajua na mambo ya walevi tena....hawanaga lugha mbadala
Arusha eeh:confused2:
lipo sehemu nyingi tuu
Asante, njoo tufanye kweli leo w/end ati
kwani Mariah Roza ni M au K? Nimeshtuka sanaAsavari na hivi nahamu na mtindi wa mtoto
yaani kila ukienda sehemu utakutana na jina hili " MA.TA.KO. bar
Hivi hili ninini kinapelekea kuitwa hv?
Hata jina la bar linakuwa ni jingine ila duh linapachikwa hili jingine
mmh inanikera sana
Jamani kunani
Both :teeth: